kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,335
- 6,458
Jibu maswali acha kuruka rukaWewe tukana bana acha kelele mingi.
Jibu maswali acha kuruka rukaWewe tukana bana acha kelele mingi.
kama yupo hai basi huko aliko atakuwa tayari wameshamchoma sindano ya kumu-traumatise.Hata kama yuko hai hali yake itakua mbaya sana. Inawezekana amepata kilema cha maisha.
kwa hiyo ni sahihi kuuwawa?Nimebahatika kupitia mojawapo ya post za mdude kuna post moja anadai kwamba Mkuu ni sawa na malaya alopata gono kwenye umalaya wake alafu anamficha daktari.
Je kwa kauli kama hii unaweza kuwa salama kweli, jamani mambo mengine tunayatafuta wenyewe.
Fikiria familia kwanza kabla ya chochote kwenye maisha yako.
Una uhakika kauwawa? Na kama unataka kujua kama ni sahihi au sio sahii kuuwawa kaa na familia yako sebulen, then ingia kwenye mtandao wa kijamii unao tumia jina lako halisi then uandike upuuzi alokuwa anaandika huyo jamaa yenu.kwa hiyo ni sahihi kuuwawa?
Una uhakika kauwawa? Na kama unataka kujua kama ni sahihi au sio sahii kuuwawa kaa na familia yako sebulen, then ingia kwenye mtandao wa kijamii unao tumia jina lako halisi then uandike upuuzi alokuwa anaandika huyo jamaa yenu.
Hata kama tunakunywa pombe au kuvuta bange au madawa ya kulevya tuhakikishe akili zetu zinawaza familia zetu kuliko chochote na ndo maana huwezi kumuona MBOWE au watoto wake wakiposti ujinga au wakiandamana hata siku moja.








Anajifanya anauchungu na cdm kuliko Mtei muanzilishi wa chadema. Au Mbowe mrithi halali wa chama cha mkwe.Nimebahatika kupitia mojawapo ya post za mdude kuna post moja anadai kwamba Mkuu ni sawa na malaya alopata gono kwenye umalaya wake alafu anamficha daktari.
Je kwa kauli kama hii unaweza kuwa salama kweli, jamani mambo mengine tunayatafuta wenyewe.
Fikiria familia kwanza kabla ya chochote kwenye maisha yako.
Alipelekwa mahakaman sheria imefata mkondo wake...yupo mahabusuMsimsahau na yule kijana aliyemfazia fujo kulu kule mbarali maana aliwekwa ndani kwa amri ya rais nae ameachiwa au bado anashikiliwa?
Kuna mbwa afugwae, na Mbwa koko wa majalalaniInasikitisha sana Mkuu..
Sijui hata nani wa kujibu kuhusiana na mtanziko huu mkubwa wa alipo MDUDE CHADEMA..
Picha chafu za Gwajima zimevuja jana tu Leo Polisi tayari muafaka umeshapatikana..
Lakini huyu ndugu ametekwa toka jmosi mpaka sasa wahusika wapo kimya.
Watanzania Hatutendi ubaya ili turekebishe ubaya. Muombee mema binadamu mwenzio pamoja na dhambi zake alizonazo. Tu mavumbi na hakika mavumbini tutarudi.CHADEMA imejaa wanafiki tupu, hivi mlishindwa kumkanya mapema kwamba akosoe bila kutukana? Mlikua mnafurahia matusi yake saivi mnavimbisha midomo ee, mimi nasema hivi wamsurubishe tu maana hana adabu na hana watu wanao mtegemea mpuuzi mkubwa
Watanzania Hatutendi ubaya ili turekebishe ubaya. Muombee mema binadamu mwenzio pamoja na dhambi zake alizonazo. Tu mavumbi na hakika mavumbini tutarudi.
Mdude kapotea hapa Tanzania unampa kazi mgonjwa aliye Ulaya. Kaazi kwelikweli.Mumgu msaidie, lakni kwa hali tuliyonayo hapa kwetu, sijui kama yuko hai. kama international community haitaingilia, basi tutauawa wengi! Lisu nakupa mzigo huo uubebe. Huku nyumbani usije zunguka dunia ukiihimiza iingilie kati katika gross violation of human rights in Tanzania! Likifanikiwa hilo, basi nakuapia you are the next president!
Jibu maswali acha kuruka ruka
kama ni kweli angalau basi wazuge kumteka slowslow kubalance stori,Watatekwa vipi wakati wao ndiyo watekaji, unataka wajiteke wenyewe?
Yaani Bash boy atekwe au Musiba au mmoja wa kundi la 'wasiojulikana' yaani kale ka'Mafia squad ndani ya kitengo.
Mtu hajiteki mwenyewe japo yule dogo Nondo alishazushiwa kajiteka baadaye wakaona aibu na wakamtema.
Ni vizuri una matumaini juu yake kuwa atarudi. Hilo ni jambo zuri' endelea kumwombea maisha yake arudi hata kama asipobadilika mahakama Zipo atashtakiwa ahukumiwe kwa sheria zetu maana ushahidi upo.Hayo aliyataka mwenyewe kwa kupenda kusifiwa huko mitandaoni, naamimi kama akirudi atakua kijana mzuri na balozi wa maadili safi ya kitanzania. Vinginevyo sina huruma ya kinafiki na vijana wajinga aina ya huyo afisa wa chama kijana mdude
Inawezekana amepotea kwenye macho yetu ila yao anaonekana ndo maana wako kimyaInasikitisha sana Mkuu..
Sijui hata nani wa kujibu kuhusiana na mtanziko huu mkubwa wa alipo MDUDE CHADEMA..
Picha chafu za Gwajima zimevuja jana tu Leo Polisi tayari muafaka umeshapatikana..
Lakini huyu ndugu ametekwa toka jmosi mpaka sasa wahusika wapo kimya.
asante, hapo sasa nimeridhika. sio chadema hii sio fair, wasiojulikana sio waungwana aiseeHapa Jukwaani kuna story flani hivi ya Peter Zakaria.
Kada wa CCM Tarime.
Aliwanyuka shaba maafsa usalama aliodai kuwa walijaribu kumteka.
Sijui jamaa bado yuko nyuma ya nondo au la