Laliga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 286
- 385
Hao wapuuzi hio ndio dawa yao, hata mimi siwezi vumilia mbegu chafu ya aina hiyo ni kuing'oa tu ikafie mbele
Una uhakika kauwawa? Na kama unataka kujua kama ni sahihi au sio sahii kuuwawa kaa na familia yako sebulen, then ingia kwenye mtandao wa kijamii unao tumia jina lako halisi then uandike upuuzi alokuwa anaandika huyo jamaa yenu.
Hata kama tunakunywa pombe au kuvuta bange au madawa ya kulevya tuhakikishe akili zetu zinawaza familia zetu kuliko chochote na ndo maana huwezi kumuona MBOWE au watoto wake wakiposti ujinga au wakiandamana hata siku moja.