Mdosi kaniganda

Mdosi kaniganda

Muanze kuishi kwa malengo sasa. Wewe mume wa mtu atakusaidia nini? Tafuta wako.


Ila mpe tu kama wapatavyo wengine.
 
Mdosi kashakula mzigo.hujasema yote umeshamfunulia huyo.unadanganya tu.
 
Siamini wewe ulivyo mjanja ushindwe cha kufanya
unless sio wewe hii ni mtu mwingine
 
MadameX
kwa uelewa wangu wahindi wanaitikadi kwa kutoa zawadi mara kwa mara !! hiyo kwao ni kama kufunguwa milango ya masilahi na riziki zaidi !! urafiki wenu udumu !
 
Last edited by a moderator:
Huyo muhindi anajua umuhimu wako kwenye deal zake za kutengeneza pesa. Hapo hupendwi wewe bali ni "contribution" yako kwenye kukamilisha deals zake. Ukihamishwa kitengo tu akajua huna msaada kwenye deal zake atachukua hamsini zake na unaweza ukadhani hamjawahi kufahamiana. Tabu sisi waswahili tunawaza kugegedana tu.
 
Sijui kama siku ukiliwa utakuja kutuambia hapa jukwaani,,lakini kwa sasa unataka ushauri
 
Akigongea mzigo we mpe tu kwani shida ya nn wakati ukarimu ni asili yenu
 
Hajatia neno hadi sasa kwamba anataka papuchi sasa wasiwasi wa nini!? We endelea kufaidi akikuomba penzi nawe kama hauko tayari kumkabidhi moyo wako mtolee nje, kila la heri na uache woga.
 
Ni kawaida tu indian guys wanajali sana mkiwa friends hadi raha ila mkiwa wapenzi ndio usiseme wanahisia kali sana alafu wapo very romantic
 
Wanawake malaya utawajua kwa threads zao humu JF,wapo kama wanaomba ushauri kumbe ujanja wa kupata watu humu,umetongozwa au hujatongozwa,rangi yako ya kucha anaijua na anakupa lunch is not our business humu acha kuleta umalaya humu
 
Niliposoma hii thread haraka sana nikakumbuka mapenzi ya Kihindi kwenye zile movies zao...

Anyway MadameX najua unajua nini cha kufanya...
 
Last edited by a moderator:
Wanawake malaya utawajua kwa threads zao humu JF,wapo kama wanaomba ushauri kumbe ujanja wa kupata watu humu,umetongozwa au hujatongozwa,rangi yako ya kucha anaijua na anakupa lunch is not our business humu acha kuleta umalaya humu
Koma mtoto wa kiume...peleka ushuzi wako kwengine. Malaya nililala na babako, mazafanta!
 
Hajatia neno hadi sasa kwamba anataka papuchi sasa wasiwasi wa nini!? We endelea kufaidi akikuomba penzi nawe kama hauko tayari kumkabidhi moyo wako mtolee nje, kila la heri na uache woga.

Ndio hajatia neno, lakini pia mtu tia akili zako na kuambia. Kwakua sitaki yafike huko....so far nimepunguza ukaribu, isilete confusion
 
Niliposoma hii thread haraka sana nikakumbuka mapenzi ya Kihindi kwenye zile movies zao...

Anyway MadameX najua unajua nini cha kufanya...
Hahahah
Sijafika huko mkuu....ndo hivyo mambo ya kazini
 
Sijui kama siku ukiliwa utakuja kutuambia hapa jukwaani,,lakini kwa sasa unataka ushauri
Soma ufahamu, otherwise sio kujaza server tu kwa majibu ya kingese.
 
Wanawake malaya utawajua kwa threads zao humu JF,wapo kama wanaomba ushauri kumbe ujanja wa kupata watu humu,umetongozwa au hujatongozwa,rangi yako ya kucha anaijua na anakupa lunch is not our business humu acha kuleta umalaya humu
Acha kudhalilisha wanawake !! Heshima ni kitu cha Bure....... Give or potezea hakuna hasara..!!
 
Back
Top Bottom