MadameX
JF-Expert Member
- Dec 27, 2009
- 7,792
- 3,859
Mimi kama mimi siamini au kawaida nashangaa kwanini mtu anacheat au extra marital affairs . Niko katika dilema na huyo mdosi ambae ni coworker, he is married and kids, kwa kawaida hawa watu ni wabaguzi so rightly speaking I dont fancy them.
Sasa issue huyu mdosi bwana kahamishwa hapa kwetu na ni mchapakazi, lakini kikazi tunaingiliana kisana. Hawezi kufinalise his projects without my inputs, he is more technical cum sales and Im into commerical aspects.
sasa mara kwa mara huwa deals zake lazima nizipe kwangu. Inafikia lazima tuende tukanegotiate at customer place, hii ikaleta ukaribu zaidi. Hii imeendelea kwa muda wa karibu Mwaka, nimekuja kugundua ni zaidi nionanvyo ni kabla ya 2 weeks back. The guy seem is on mission.
-Napata free Lunch lol!
-Saa nyingine usafiri sina napewa usafiri for number of days as I wish!
-Akienda kwao Zawadi.
-Sikuja kazini misimu, sometimes calling for no reason.
-Everynow and then yupo office kwangu.
-Ataka kujifunza Dini yangu na Lugha yangu.
-Kuna katrip nje ya Nchi kikazi naona, jina langu kalitia.
-
Ananotice hata rangi ya Kucha (naiipolish).
-Kaingia gym sababu mimi ni mtu wa kujijali in that area.
-Eyes contact hazishi.
Sasa huyu yuko kwenye kupiga sound ama vipi maana nataka kujitoa kwenye majanga naweza mchuna if I want to lakini hakuna kula bure na wala sio tabia yangu.
Nimeacha kuambatana nae kwenye deals zake lakini naogopa nisijekuwa najishuku tu nikakosa friend na kuathiri utendaji wangu wakazi. Maana tukileta customer tunapaka equal credit.
Nipeni mbinu
Sasa issue huyu mdosi bwana kahamishwa hapa kwetu na ni mchapakazi, lakini kikazi tunaingiliana kisana. Hawezi kufinalise his projects without my inputs, he is more technical cum sales and Im into commerical aspects.
sasa mara kwa mara huwa deals zake lazima nizipe kwangu. Inafikia lazima tuende tukanegotiate at customer place, hii ikaleta ukaribu zaidi. Hii imeendelea kwa muda wa karibu Mwaka, nimekuja kugundua ni zaidi nionanvyo ni kabla ya 2 weeks back. The guy seem is on mission.
-Napata free Lunch lol!
-Saa nyingine usafiri sina napewa usafiri for number of days as I wish!
-Akienda kwao Zawadi.
-Sikuja kazini misimu, sometimes calling for no reason.
-Everynow and then yupo office kwangu.
-Ataka kujifunza Dini yangu na Lugha yangu.
-Kuna katrip nje ya Nchi kikazi naona, jina langu kalitia.
-
Ananotice hata rangi ya Kucha (naiipolish).
-Kaingia gym sababu mimi ni mtu wa kujijali in that area.
-Eyes contact hazishi.
Sasa huyu yuko kwenye kupiga sound ama vipi maana nataka kujitoa kwenye majanga naweza mchuna if I want to lakini hakuna kula bure na wala sio tabia yangu.
Nimeacha kuambatana nae kwenye deals zake lakini naogopa nisijekuwa najishuku tu nikakosa friend na kuathiri utendaji wangu wakazi. Maana tukileta customer tunapaka equal credit.
Nipeni mbinu