Mdosi apigwa faini kwa kukojoa hadharani

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Muhindi mmoja alikamatwa akikukojoa njiani, akaambiwa kulipa faini ya shs 1000 lakini yeye Akalipa 1500, kuulizwa hiyo 500 zaidi yanini ..Akasema,,, wakati iko nakujoa iko jamba kidogo....
 
Mmh! wahindi kwenye kujamba ni waaminifu lakini kulipa kodi TRA hawana uaminifu huo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom