mie siwaamini magazeti ua udaku kama umeitoa huko,nahisi wanamtafuta mtu apozi ili wampige picha aonekane kalewa hajitambui,sidhani kama umelewa utakumbuka kuishikilia simu kama alivyoishikilia huyo dada,anaonekana kabisa amepozi:mod
Absolutely true!
Ningekuwa mwalimu na nimekutungia mtihani ungekula mia kwa mia...hiyo picha ni usanii mtupu..sijui lengo ni nini..Tanzania mmh