sio kila anaepigwa ni Mwizi. kuwa na huruma japo kidogo kiongoziKupigwa sio ishu, kama mwizi atapigwa tuu
Mantik yangu ni kwamba unapoleta taarifa leta iliokamilika usitupe kaz ya ku guesesio kila anaepigwa ni Mwizi. kuwa na huruma japo kidogo kiongozi
Yaan maswal kibao kwakua taarifa imeletwa ipo ipo tuu!!Ana hulka ya kulewa au kutembea usiku mnene?
Poleni sana ndugu. Ama kweli dunia haina huruma, mwenyenzi Mungu atujalie mwisho mwema.Wakuu, nimepokea taarifa za msiba wa mdogo wangu nimeambiwa mwili wake umeokotwa Mbezi na una majeraha sehemu za kichwa, ila kwa sasa mwili upo hospital. Mpaka sasa hatujajua sababu ya kifo chake.
Huyu?Wakuu, nimepokea taarifa za msiba wa mdogo wangu nimeambiwa mwili wake umeokotwa Mbezi na una majeraha sehemu za kichwa, ila kwa sasa mwili upo hospital. Mpaka sasa hatujajua sababu ya kifo chake.
Ni wa kiume na mwili wake umeonekana leo hospital(ipo Mbezi) mzazi alipigiwa simu baada ya kumtafuta polisi na baadhi ya hospital bila mafanikio na umri wake ni under 28Mdogo ako wa kike au kiume
Ameokotwa lini?
ALikua akiishi wap na nani?
Ana umri gani?
Shughuli yake ni nini?
Alipotea lini?
Mlitoa taarifa wapi za kupotea?
Mkuu mbona unatuchanganya badala ya kuleta habar kamili??
NB
pole kwa msiba
Mara zote ninasisitiza pombe haijawahi kumuacha mtu salamaTabia ya kulewa anayo
Watakwambia PanyaroadPoleni sn. Police watajua chanzo
Hii haijawihi kutokea kwa police kujua chanzo chake, police wetu wapo tayari kukimbizana na wapinzani mitaaniPoleni sn. Police watajua chanzo