miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
Mwache afe tutazika......usiku mwema.Kwahiyo ukimpa ndo ataishi milele?anatishia kufa?aliyemuona karudi nani?
Tena yenye mkorogo.
Mgee tu,Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.
Hiyo kali.... jamaa mshipa wa aibu umekatika nin..??
hilo swala limalizeni kimya kimya maana mkishirikisha watu weng mwisho wa siku lita tatulika lakini pia fedhea ita baki kwenu wote kwamba mshatakana.. mtakuwa mnatolewa mifano hovyo hata na hao hao ndugu pindi watakapo kuwa. Mbali.
Muelimishe huyo kk ako domo zege atafute papuchi kwa dem mwingine, wanawake mpo weng bwn au ikishindikana mtumie condom ila iwe mara moja tu na asikae sana.
usipotoshe mkuu dini ya kiislam hairuhusu ndugu wa damu kuoana.Ingelikuwa ni ndoa, basi dini ya Kiislam inaruhusu.
Lakini zinaa, hapana ruksa.
Habarini wapendwa. Nimekuja
mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me
namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma
namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo
kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na
amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So
nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia
me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu!
Help plz.
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.