asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Kweli kuna watu mnajua kujitoa ufahamu aseeeh! Tupa kule ,kama ni sumu anywe afie mbele huko kuliko kuletea nuksi family
"Binamu nyama ya hamu".
Wahenga walisema! Nasema hivyo kwa kuwa, kama waliruhusu hilo lifanyike
baina ya watoto wa mjomba na, ama wa shangazi (ambao ki msingi ndiyo
mabinamu), basi wa baba mdogo/mkubwa na, ama wa mama mdogo/mkubwa nao ni
walewale!-
Mtoto wa mama mkubwa si ndugu wa damu. Hata ukoo siku zote unakuwa tofauti na wa kwako na wakati mwingine kuna uwezekano hata kabila mkatofautiana kabisaa.usipotoshe mkuu dini ya kiislam hairuhusu ndugu wa damu kuoana.
Ingelikuwa ni ndoa, basi dini ya Kiislam inaruhusu.
Lakini zinaa, hapana ruksa.
ulishawahi kumuonjesha kale katunda katamu kuliko matunda yote kwenye dunia hii? I mean tunda K alias tunda VHabarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.
khaaaa!!,yaani nyege zake zoote anataka azidondoshee kwa dada yake,unamlegezea sana wewe inaonekana kimoyomoyo unataka kumpa,usichomuonya ni nn,eti anatishia kujiua,mwache afe,kwani akifa yeye dunia itasimama,amekufa che guevara itakuwa pimbi tu ka yeye?
Mpe kidogo, umewapa wangapi usowajua bana na wakaenda zao? Sembuse anayetaka kujidhuru hafu ni Ndugu yako? Mi mbona nimeshalia sana kwa binamu na watoto wa mama wadogo na tukaukomaza undugu wetu! Hawezi kuondoka nayo na Akifa utajilaumu milele, mpe kidogo ila umwambie asizoee coz haruhusiwi kukuoa.
asee kweli maadili hakuna,enzi za mwalimu angekula viboko adharani jingaaa sana,analeta mambo ya warabu,katika kosa utalo fanya nikumkubalia hata kumuonjesha tunda.jaribu kuepuka kuwa nae karibuHabarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.
kwa maana hiyo binti..unamaanishaMtoto wa mama mkubwa si ndugu wa damu. Hata ukoo siku zote unakuwa tofauti na wa kwako na wakati mwingine kuna uwezekano hata kabila mkatofautiana kabisaa.
Habarini wapendwa. Nimekuja mbele yenu mnipe mawazo. Me nina mdog wang mtot wa mama mkubwa ambae me namuita kaka, ananipenda sana. Me nimemkatalia bt haelewi yani ndo kma namchochea. Anasema ye hajui cha undugu wala nini, kikubwa moyo wake upo kwangu. Kiukwel najckia aibu kwa anavyofanya coz namuheshm sana. Na amejaribu kunywa sumu akaokolewa anadai eti kama cmtak atajiua. So nisaidien guyz me nataka TUHESHMIANE kma zaman yeye ni mdogo wangu. Pia me sitak kuwa ktk mahusiano kwasasa hata kama asngekuwa ndugu yangu! Help plz.
BANGE hizi zitaliangamiza taifa letu.