Mdogo wake Diamond (S kide) amchana Harmorapa

Huyu nae ndio hoooooo hovyo kabisa sasa singeli na hip hop wapi na wapi.... asitake kujifananisha na hamorapa amfikii hata kidogo kwanza hajui hata kuiimba hiyo singeli yenyewe....afu huyu anatafuta kick mala zote yeye kuwaimba wasanii afu hana nyota ya kuwa star sasa anatafuta umaarufu kupitia hamorapa
 
Kijana anaetafuta ugali kwa jina la S kide amedondosha ngoma kali inayokwenda kwa jina la Hamo rapa na humo ndani amefanya 'matusi' sana juu ya msanii anaekuja kwa kasi, Harmorapa.

Baadhi ya mistari ya wimbo huo inasema jamaa hafanani na Harmonize bali pacha wake ni Young killer, na pia kijana hajui mziki bali ni kituko.

Pia katika wimbo S kide anashangaa kwa nini yeye haitwi WCB na kaka yake wakati ana kipaji kikubwa.

Tujikumbushe; S kide alishawahi kutoa wimbo wa Kumsema vibaya Diamond, ameshawahi kutoa wimbo wa kumsema 20%, alishawi pia kupigwa na Ney wa mitego baada ya kuachia songi lililomlenga star huyo lililokwenda kwa jina la Dada Neema.

Nb: nimeshindwa kuuweka wimbo huu wa S kide unaoitwa Hamorapa, atakaeweza anisaidie umeenea blog zote za muziki nchini.

Harmorapa msanii Wa ukweli kuliko wote
 
S Kide hatokuja kutoka labda ataishia kwao Mbagala kila kitu anataka kujibu.
Man Fongo katoa Hainaga Ushemeji yeye akaja na Ushemeji Upo.
Ney katoa Shika Adabu Yako yeye akatoa Chizi wa Manzese, hapo ana rundo la nyimbo za kuwasema wasanii wengine.

Mara aseme yeye na Diamond ndugy yaani ni shida, ila kitu kimoja ni dhahiri ya kwamba hatokuja kutoka.
 
S Kide hatokuja kutoka labda ataishia kwao Mbagala kila kitu anataka kujibu.
Man Fongo katoa Hainaga Ushemeji yeye akaja na Ushemeji Upo.
Ney katoa Shika Adabu Yako yeye akatoa Chizi wa Manzese, hapo ana rundo la nyimbo za kuwasema wasanii wengine.

Mara aseme yeye na Diamond ndugy yaani ni shida, ila kitu kimoja ni dhahiri ya kwamba hatokuja kutoka.
Wote waliremba lakini Ney alimpa vitasa vya kutosha huyu bwana mdogo maana hana adabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom