bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Huyu nae ndio hoooooo hovyo kabisa sasa singeli na hip hop wapi na wapi.... asitake kujifananisha na hamorapa amfikii hata kidogo kwanza hajui hata kuiimba hiyo singeli yenyewe....afu huyu anatafuta kick mala zote yeye kuwaimba wasanii afu hana nyota ya kuwa star sasa anatafuta umaarufu kupitia hamorapa