Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,248
- 6,267
Utakua unaishi kwenye nyumba yao ww sio bure.
Wanaanzaje kukufharau kiasi hicho. waambie wakatafute mteja muuze mgawane alaf ona reaction yao.
Cha kufanya, hilo duka uza vitu tunza hela, hiyo nyumba kachujue mkopo benki alafu ije ipigwe mnada. Kua kichaa vitu uza alafu wote fujuza. Wakishaondoka kafungue duka upya, jenga nyumba upya na usioe tena.
Wanaanzaje kukufharau kiasi hicho. waambie wakatafute mteja muuze mgawane alaf ona reaction yao.
Cha kufanya, hilo duka uza vitu tunza hela, hiyo nyumba kachujue mkopo benki alafu ije ipigwe mnada. Kua kichaa vitu uza alafu wote fujuza. Wakishaondoka kafungue duka upya, jenga nyumba upya na usioe tena.