ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,010
hao ndo walimpa kura,wasibughudhiwe jamani
So sad wadau hapana tofauti sana na soko la buguruni, maana kwa sasa sio tena nguo na viatu ni mwendo wa nyanya, vitunguu, karoti, banana mbivu kwa mbichi, matikiti, mafenesi mananasi yaani kila aina ya bidhaa inawekwa road, hii ni hatari kwa watumiaji maana yale maji yanayotiririka c salama aiseeeeeeeeeeee...#@#Baada ya kufanikiwa kuingiza bidhaa zao ndani kabisa ya Stendi mpya , sasa katika kile kinachojulikana kama MATUNDA YA UHURU WA NCHI YAO , wameamua kusimika mabanda ya mbao yaliyoezekwa na miamvuli mikubwa.
Mtoa taarifa amedokeza kwamba , baada ya miezi kadhaa ijayo wataanza kuezeka kwa bati ili kujihami na kipindi kijacho cha mvua .
Mungu ibariki Tanzania .
ya wa pita kwa miguuHamna service road mtaa wa msimbazi.
Kapicha kanausikaPicha mkuu.
Ile sio service road bali ni pavement mbele ya maduka sehemu wapita miguu wanapita. Service road ni njia ya ziada ya magari kupita
Hahahaa! Hii ndio JFJina sahihi ni sidewalk, sideways au pedestrian way, pavement ni aina ya matofali. Mara nyingi hutumika kutengezea sidewalk
Nadhani wasipoangalia muda si mrefu hayo mabanda yaliyojengwa kwa ajili ya mabasi ya mwendo kasi nayo yataingiliwa na wamachinga na kutumika kuuzia bidhaa zao kwa abiria wanaosubiri kupanda hayo mabasi na wale wanaoshuka.Vibanda vya mwendo kasi navyo wavitumie.
Msimbazi wamejaa wauza maji na wanakaa hapo hapo kituo cha mwendokasi juzi nusu nimwage maji na juice zao
Buguruni ndio eneo la mwanzo kabisa kupata kipindupindu kila mlipuko unapotokea .So sad wadau hapana tofauti sana na soko la buguruni, maana kwa sasa sio tena nguo na viatu ni mwendo wa nyanya, vitunguu, karoti, banana mbivu kwa mbichi, matikiti, mafenesi mananasi yaani kila aina ya bidhaa inawekwa road, hii ni hatari kwa watumiaji maana yale maji yanayotiririka c salama aiseeeeeeeeeeee...#@#
We si useme tu kama hutaki kuvaa hilo shati bhana , tutalipata wapi hilo tamko aisee ?Hebu mtu mmoja tuu na aniambie tamko alilowahi kutamka huyu mzee ambalo halijaleta ukakasi na akaonekana mbunifu? Moja tuu ili Leo nivae shati la kijani
Sio kweli! Matofali yanaitwa pavers! Pavement is an outdoor floor.Jina sahihi ni sidewalk, sideways au pedestrian way, pavement ni aina ya matofali. Mara nyingi hutumika kutengezea sidewalk
Hatari snNadhani wasipoangalia muda si mrefu hayo mabanda yaliyojengwa kwa ajili ya mabasi ya mwendo kasi nayo yataingiliwa na wamachinga na kutumika kuuzia bidhaa zao kwa abiria wanaosubiri kupanda hayo mabasi na wale wanaoshuka.
He he he, yaani imebidi nicheke tuuWe si useme tu kama hutaki kuvaa hilo shati bhana , tutalipata wapi hilo tamko aisee ?
Jecha anastahili nishani iliyotukuka kwa kazi nzuri aliyofanya.Hebu mtu mmoja tuu na aniambie tamko alilowahi kutamka huyu mzee ambalo halijaleta ukakasi na akaonekana mbunifu? Moja tuu ili Leo nivae shati la kijani