Mdogo angu kadanganywa mimba yake

Mdogo angu kadanganywa mimba yake

kibuyu180

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2016
Posts
1,778
Reaction score
1,907
Hili suala tulisikie tu jamani. mdogo angu kabisa yamemkuta. Ipo hivi; mdogo angu alikuwa na mpenzi wake aitwae ireen. walikorofishana mwezi juni mwaka 2018 wakaachana. Mwezi novemba mwaka 2018 mdogo angu katika pita pita zake town akakutana na Ireen, wakapeana tena mawasiliano. wakaanza kuchart mara wakarudisha penzi. kwa maelezo ya mdogo angu na Ireen kuthibitisha kuwa walikutana kimwili tarehe 3 Desemba 2018. Baada ya wiki tatu Ireen akamwambia mdogo angu kuwa mjamzito. dogo akamchukua hadi hospitali kupima, akathibitika ni kweli. Mwezi february Ireen akaanza Clinic, tarehe yake ya makisio ni 20 August 2019.
Ireen 1 July 2019 ucku wa saa 2 kajifungua mtoto wa kike, mwenye afya njema kabisa. Mdogo angu kapagawa hatari,mtoto si wake. familia tumemtaka awe mvumilivu kwa mwezi mmoja tu. vikao vya pande mbili vinategemea kuanza jpili hii.

Naomba mchango wa mawazo yenu wadau.
Dogo anataka kufungua kesi ya udanganyifu.
 
Navyo fahamu kuanzia wiki 36 mtu anaweza jifungua japo inakuwa kachanga kwa hesabu za la 3B iyo mimba imefikisha 36 miezi ko uwezekano wa mtoto kuwa wa dogo upo na uwezekano wa sio wake upo yaani 50/50

alafu dogo aache janja janja mtoto wake huyo fanyeni kulea
 
Mkuu jitahidi kuandika sentensi nzima, mfano unaandika "angu" badala ya wangu maana mwandiko wako unakatisha kusoma
 
Very complicated mpaka apate kibali cha mahakama ndo afanye DNA
[/QUOT
Ht sio lzm kibali cha mahakama ... Unaweza kwenda police , ustawi wa jamii au kwa wakili sehemu hizi zote wanauwezo wa kukuandikia barua kwenda kwa mkemia mkuu wa serikali kupima DNA .
 
Sasa alipokuwa anadinyana bila kinga alitarajia wazungu watokao wanaenda kutengeneza mapapai?
Hili suala tulisikie tu jamani. mdogo angu kabisa yamemkuta. Ipo hivi; mdogo angu alikuwa na mpenzi wake aitwae ireen. walikorofishana mwezi juni mwaka 2018 wakaachana. Mwezi novemba mwaka 2018 mdogo angu katika pita pita zake town akakutana na Ireen, wakapeana tena mawasiliano. wakaanza kuchart mara wakarudisha penzi. kwa maelezo ya mdogo angu na Ireen kuthibitisha kuwa walikutana kimwili tarehe 3 Desemba 2018. Baada ya wiki tatu Ireen akamwambia mdogo angu kuwa mjamzito. dogo akamchukua hadi hospitali kupima, akathibitika ni kweli. Mwezi february Ireen akaanza Clinic, tarehe yake ya makisio ni 20 August 2019.
Ireen 1 July 2019 ucku wa saa 2 kajifungua mtoto wa kike, mwenye afya njema kabisa. Mdogo angu kapagawa hatari,mtoto si wake. familia tumemtaka awe mvumilivu kwa mwezi mmoja tu. vikao vya pande mbili vinategemea kuanza jpili hii.

Naomba mchango wa mawazo yenu wadau.
Dogo anataka kufungua kesi ya udanganyifu.
 
Hili suala tulisikie tu jamani. mdogo angu kabisa yamemkuta. Ipo hivi; mdogo angu alikuwa na mpenzi wake aitwae ireen. walikorofishana mwezi juni mwaka 2018 wakaachana. Mwezi novemba mwaka 2018 mdogo angu katika pita pita zake town akakutana na Ireen, wakapeana tena mawasiliano. wakaanza kuchart mara wakarudisha penzi. kwa maelezo ya mdogo angu na Ireen kuthibitisha kuwa walikutana kimwili tarehe 3 Desemba 2018. Baada ya wiki tatu Ireen akamwambia mdogo angu kuwa mjamzito. dogo akamchukua hadi hospitali kupima, akathibitika ni kweli. Mwezi february Ireen akaanza Clinic, tarehe yake ya makisio ni 20 August 2019.
Ireen 1 July 2019 ucku wa saa 2 kajifungua mtoto wa kike, mwenye afya njema kabisa. Mdogo angu kapagawa hatari,mtoto si wake. familia tumemtaka awe mvumilivu kwa mwezi mmoja tu. vikao vya pande mbili vinategemea kuanza jpili hii.

Naomba mchango wa mawazo yenu wadau.
Dogo anataka kufungua kesi ya udanganyifu.
Msije mkamdanganya kuwa mtoto ni wake. Mtoto anayezaliwa na miezi saba atakuwa hajakomaa (premature au njiti). Kwa maelezo yako ni kwamba mtoto amezaliwa na afya njema. Hii ni kusema mimba ilitungwa kabla ya mwezi Desemba 2018 (kwa vyovyote vile ni mwezi Novemba au hata kabla). Huyo shemeji yenu aongee vizuri.
 
Hili suala tulisikie tu jamani. mdogo angu kabisa yamemkuta. Ipo hivi; mdogo angu alikuwa na mpenzi wake aitwae ireen. walikorofishana mwezi juni mwaka 2018 wakaachana. Mwezi novemba mwaka 2018 mdogo angu katika pita pita zake town akakutana na Ireen, wakapeana tena mawasiliano. wakaanza kuchart mara wakarudisha penzi. kwa maelezo ya mdogo angu na Ireen kuthibitisha kuwa walikutana kimwili tarehe 3 Desemba 2018. Baada ya wiki tatu Ireen akamwambia mdogo angu kuwa mjamzito. dogo akamchukua hadi hospitali kupima, akathibitika ni kweli. Mwezi february Ireen akaanza Clinic, tarehe yake ya makisio ni 20 August 2019.
Ireen 1 July 2019 ucku wa saa 2 kajifungua mtoto wa kike, mwenye afya njema kabisa. Mdogo angu kapagawa hatari,mtoto si wake. familia tumemtaka awe mvumilivu kwa mwezi mmoja tu. vikao vya pande mbili vinategemea kuanza jpili hii.

Naomba mchango wa mawazo yenu wadau.
Dogo anataka kufungua kesi ya udanganyifu.
Ukisema ni wewe ndio yamekukuta kuna shida gani mkuu!?huendi mbinguni
 
Back
Top Bottom