hata kidwahili ipo,chek vizuri
Kuna vitu mnachanganya aidha kwa makusudi au kwa kuwanukuu vibaya. CCM haijawahi kusema itamaliza ufisadi, ilisema itamaliza Upinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwana alimzodoa Sana Assad kumbe ana lake jipu.Mkuu hapa kinachozungumzwa ni Ufisadi jimboni kwa Speaker na siyo credibility ya Source za Ufisadi huo. Msiwe mnapenda kuwaingiza walimu kwenye matatizo kuwa hawafundishi, wakt kwenye mitihani mmejibu maswali mliyotunga wenyewe!
Hoja haikusudii kumlinganisha CAG huyu na CAG yule. Ila imejikita kumwangazia bwn Workload Mafwimbo ule utashi wa kuzodoa wengine, anautoa wapi Kama kwake hali iko hivo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo hayawahusu na wagogo ndio mtaji wa chama chetu, wao wanahitaji T shirt na vilemba mengine sio kipaumbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uzi humu wa Roving Journalist una repot za kiswahiloNimeiona ila nyingi zinazopatikana kwa urahisi zimeandikwa kwa kingereza hat kwenye web ya ofisi ya ukaguzi zipo za kingereza
Hujui kitu mzee. unadhani CCM ni wajinga wamlipe mkandarasi kibwege.hivi ukisikia hela zimeliwa unajua wamechota kwenye akaunt wakakimbia?unalipa mtu kimagumashi baadaye anakupa chakoUmeshajichanganya akili tayari, waliokula hela si CCM bali makandarasi ila CCM imelipa hela zote kama mkataba ulivyosema. Sasa baada ya ripoti kutoka ndipo CCM inaweza kudai hao makandarasi. Umeelewa hili? Sasa wacha kujipiga vidole kwa hasira.
Sawa ngoja niutafuteKuna uzi humu wa Roving Journalist una repot za kiswahilo
Takataka countryHayo hayawahusu na wagogo ndio mtaji wa chama chetu, wao wanahitaji T shirt na vilemba mengine sio kipaumbele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kitu mzee. unadhani CCM ni wajinga wamlipe mkandarasi kibwege. hivi ukisikia hela zimeliwa unajua wamechota kwenye akaunt wakakimbia?unalipa mtu kimagumashi baadaye anakupa chako
Sijawah kuona umuhimu wa ripoti ya CAG,,,Kwa sababu hakuna hatua yeyote inayochukuliwa zaidi ya kusomwa tu alafu kila kitu kinaendelea Kama kawaida🙄🙄🙄🙄View attachment 1413550View attachment 1413558
1. Mkandarasi amekula milioni 348 bila kufanya kazi
2. Mradi wa milioni 528 hautoi maji. Mkandarasi kasepa
Najiuliza nguvu anayotumia Spika kummaliza Tundu Lissu kwa nini haitumii kusimamia miradi huko kwake,au na yeye ana 10%?
Hali hii haikubaliki
iliposemwa bunge ni dhaifu hamkuelewa?CAG kazi yake sio kuwajibisha watu. yeye analipoti,bunge ma vyombo vya serikali vinachukua hatuaSijawah kuona umuhimu wa ripoti ya CAG,,,Kwa sababu hakuna hatua yeyote inayochukuliwa zaidi ya kusomwa tu alafu kila kitu kinaendelea Kama kawaida🙄🙄🙄🙄
Ndio maana nimesema inasomwa tu bila utekelezaji sijamaanisha kazi ya CAG kuwajibishailiposemwa bunge ni dhaifu hamkuelewa?CAG kazi yake sio kuwajibisha watu. yeye analipoti,bunge ma vyombo vya serikali vinachukua hatua
ChrissKumekucha !
huo mkataba unasema umlipe mkandarasi kazi ambayo hakufanya? punguza mahabaUmeshajichanganya akili tayari, waliokula hela si CCM bali makandarasi ila CCM imelipa hela zote kama mkataba ulivyosema. Sasa baada ya ripoti kutoka ndipo CCM inaweza kudai hao makandarasi. Umeelewa hili? Sasa wacha kujipiga vidole kwa hasira.