OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,776
- 102,135
1. Mkandarasi amekula milioni 348 bila kufanya kazi
2. Mradi wa milioni 528 hautoi maji. Mkandarasi kasepa
Najiuliza nguvu anayotumia Spika kummaliza Tundu Lissu kwa nini haitumii kusimamia miradi huko kwake,au na yeye ana 10%?
Hali hii haikubaliki