Porojo hizo75 wa ADF waliuawa
Porojo hizo75 wa ADF waliuawa
Nilikuwa na ninawaza kama wewe. Kwa nini imetokea hivyoo?Mimi nna fikiri tofauti kidogo ..., na ninaingiwa na uwoga kidogo ..
Kwanza ninajiuliza swali la msingi kabisa, sielewi kwanini askari wetu wengi waliouawa ni Wazanzibari .. ?! Kama sikosei, ni askari 9 kati ya 14 waliouawa ni kutoka visiwani, sijui ni wangapi toja Pemba ama wangapi toka Unguja ...
La pili, katika mpangilio wa kijeshi, sidhani kama ni sahihi sana kuwalundika watu wa aina, kabila, dini moja katika kikosi kimoja ... Ni lazima kuna utaratibu fulani unafuatwa katika kuwapanga askari ili kuepuka ajali/makusudi/sabotage ya kuliumiza jeshi namna hii ..
Jambo hili la vifo vya wazanzibari askari vijana wengi namna hii ..., linatakiwa lipatiwe majibu na ma Jenerali wa JWTZ na sio UN peace force ....
Au wana JF tumeacha kufikiri siku hizi .... ?!
Can't we smell a rat in these killings ... ???!
Sawa kabisa.Wazungu wanawatumia Kagame na M7.
Bahati mbaya sana japo sina uhakika eti " Hao wanasesere wawili ndiyo marafiki zetu wakubwa"
Hizi habari sio za watoto, kama huna cha ku comment..., kalale ...!Mpaka enzi hizi unazungumzia ubara na uzabzibar? U must have a problem upstairs!!! Sio bure.
Bahati mbaya sana ndugu yangu ni kua, hata Raisi wetu anawapenda sana hawa jamaa ...Sawa kabisa.
The one who tell you about others, is the one who tell others about you.
Rafiki yetu mkubwa tuliyempa nafasi ya kutushauri ndiye huyo anayetumiwa na mataifa makubwa kutumaliza.

Sawa kabisa.
The one who tell you about others, is the one who tell others about you.
Rafiki yetu mkubwa tuliyempa nafasi ya kutushauri ndiye huyo anayetumiwa na mataifa makubwa kutumaliza.
Bahati mbaya sana ndugu yangu ni kua, hata Raisi wetu anawapenda sana hawa jamaa ...
Hawa ndio wanao m shape, soon East Africa will have 4 Dictators ..., na Hima Empire is around the corner.. !![]()
![]()
![]()
Mbona sababu ya kuuwawa Wazanzibar nimeshaijibu mkuu au hujaona uzi?Kwa aliyesoma boarding school atanielewa nikisema kuwa kunatabia wanafunzi wanaosali dini moja kukaa pamoja bweni moja.
Nakumbuka katika course zangu zote za Weapon Training hii tabia ya wazenji kujitenga kuanzia mabweni hadi kupiga story za hapa na pale wanapenda wawe wao pekee yao ndiyo mambo yaende wakijitahidi sana wanajumuika na mtu kutoka bara lakini lazima awe muislam.
Ndiyo maana hata mashambulizi yalivyotokea walikutwa wengi wao wakiwa pamoja.
Kuna mtu nitakuwa nimemjibu hapa.
Ninachojua ni kwamba ni kundi la kigaidi la kiislam, kama kawaidaHabari zenu wakuu. Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu hawa jamaa wanaojiita waasi wa ADF. Nimeshindwa kupata jibu ni nani anawafadhili kipesa na siraha. Kama Museveni ni adui wao, Rwanda ni adui wao, Congo ni adui wao na hata Tanzania ndo wametufanyia mbaya. Je, ni nani yuko nyuma yao? haiwezekani wakawa wana survive porini na wakati wamezungukwa na maadui kila kona. kuna mambo yaliyojificha na hatuyajui.
Nilivyosoma hapa waasi walifanya shambulio baya la kushtukiza maana waliweza hata chukua chakula maana waliweza wadhibiti wanajeshi wetu wakafanya watakavyo. Pia nimepoteza imani na MONUSCO wenyewe. Maana mbona wazungu hawapigwi hizo ambush. May be JWTZ wanasalitiwa. Halafu kuna mdau kaandika humu kwenye ambush zinapigwa wazungu wapo uwa wana retreat maana yake wanakua supplier kwa waasi maana wakiretreat waasi wanachukua chakula na silaha. My advice, damu iliyopotea inabidi wajutie hao waasi ikiwekana kupeleka kikosi cha kwenda kulipa kisasi haiwekani kupoteza gharama kuandaa askari wanaenda hujumiwa kizembe kiasi hicho. MONUSCO ni wasanii mbona hawaendi Syria, Iraq, Afghanistan, Somalia , Sudan na kwingineko hapo kuna wish tu Congo
sent by me
Wasiwasi ni akili Poise. ., our 2 neighbouring countries have planned and executed an attack to our UN/Tz peace force ...., tena mchana kweupeee ... Na hii ni mara ya tatu sasa ...Menyainganyi,
Mkuu,
You are missing a point somewhere too.
No dictator or hima empire to be accomplished by involving Tanzania.
Tanzania its a very unique and dynamic country in Africa.
Acha Rwanda na Uganda wajifurahishe kwa sasa ila muda siyo mrefu tutafanya reshuffle ya hatari.
Hacha mapokeo ya kidini yasituathiri . Wakona Cameron na Obama wanadini hizi hizi lakini wanatetea ushoga na ndoa as jinsia moja. Dini zinaathiri mifumo yetu ya kufikiri kwa namna moja au nyingine utasikia wameleta msaada jaw nini wasilite misaada ya kutukomboa kifikra unaweza lijua hili kwa kulinganisha ada ya shule au huduma za hospitali za kidini . Mnachangia kujenga lakini bado wachache ndio wanamudu gharama zao. Fikiria makanisa na misikiti waseme tununue matreka hili kusaidia wakulima ambao ndio asilimia kubwa huko mikoani nadhani ndani miaka miwili chakula kisingekua na sehemu ya kuweka. Dini ni kuwanayo makini sana maana sisi tunaamini kwenye miujiza zaidi wenzetu wapo busy na kazi . Unaweza kuta kuta mtu anashinda kwenye nyumba ya ibada halafu anategemea miujiza kafanikiwa. Tuwe makini sana na hizi imani sijasema tuziacheNinachojua ni kwamba ni kundi la kigaidi la kiislam, kama kawaida
Wasiwasi ni akili Poise. ., our 2 neighbouring countries have planned and executed an attack to our UN/Tz peace force ...., tena mchana kweupeee ... Na hii ni mara ya tatu sasa ...
Our number 1 did not utter a word about the killings of our 14 peace corps, neither he did not show up at their final last respect or funeral ceremony ...
Tusipuuze mambo haya . . , kwa watanzania tulivyo gawanyika, kutawaliwa ni rahisi sana ... !
Tanzania Military ina uzoefu mkubwa sana wa siasa za ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati..Menyainganyi ,
Mkuu,
Sina shida na no.1 kuwa kimya au kutohudhuria .
Tatizo ni sisi kujifanya kuwa hatujui game ya DR Congo na kuachia vijana wetu wafe.
Hapa jambo la msingi ni kufanya maamuzi magumu .
Soma comment yangu hapo namba # 93 utapata picha kidogo y ninacho kiandika.
Tanzania Military ina uzoefu mkubwa sana wa siasa za ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati..
Siamini kabisa kua our Military Intelligence Unit haijui michezo hii ya askari wetu kushambuliwa kila mara chini ya UN peace force ..
Na kama wanajua, ni kwa nini wanawauza vijana wetu hivi ..., hii ni bahati mbaya kweli au ni mipango ... ?!
Kama ni mipango, ni akina nani ndani ya Tz/JWTZ/UN wanahusika na mipango hii ... ?!
Mkuu huo ndio ukweli.Hacha mapokeo ya kidini yasituathiri . Wakona Cameron na Obama wanadini hizi hizi lakini wanatetea ushoga na ndoa as jinsia moja. Dini zinaathiri mifumo yetu ya kufikiri kwa namna moja au nyingine utasikia wameleta msaada jaw nini wasilite misaada ya kutukomboa kifikra unaweza lijua hili kwa kulinganisha ada ya shule au huduma za hospitali za kidini . Mnachangia kujenga lakini bado wachache ndio wanamudu gharama zao. Fikiria makanisa na misikiti waseme tununue matreka hili kusaidia wakulima ambao ndio asilimia kubwa huko mikoani nadhani ndani miaka miwili chakula kisingekua na sehemu ya kuweka. Dini ni kuwanayo makini sana maana sisi tunaamini kwenye miujiza zaidi wenzetu wapo busy na kazi . Unaweza kuta kuta mtu anashinda kwenye nyumba ya ibada halafu anategemea miujiza kafanikiwa. Tuwe makini sana na hizi imani sijasema tuziache
sent by me