75 wa ADF waliuawaAjabu ninayoiona katika kadhia hii yote, ni kuwa hakuna mshambulizi hata mmoja aliyejeruhiwa na kutekwa! Au ni mimi sina habari?!
75 wa ADF waliuawaAjabu ninayoiona katika kadhia hii yote, ni kuwa hakuna mshambulizi hata mmoja aliyejeruhiwa na kutekwa! Au ni mimi sina habari?!
Ukisoma Post No. 60 utajiuliza, hivi hizo maiti zinazotangazwa mbona hazikuonekana? Ni nani alithibisha uwepo wa hizo maiti? Kama mtoa bandiko anavyosema kuna mengi yapo nyuma ya pazia kuliko tunavyosema. Hao ADF wanasingiziwa lakini ukweli ni kwamba FARDC wanahusika na hili shambulizi.75 wa ADF waliuawa
Wakati mwingine, ingawa sina uhakika, sio kila taarifa au picha za matukio yote ya mapigano ya kijeshi huwekwa bayana kimkakati wanaoujua wanajeshi wenyewe kama wataalamuUkisoma Post No. 60 utajiuliza, hivi hizo maiti zinazotangazwa mbona hazikuonekana? Ni nani alithibisha uwepo wa hizo maiti? Kama mtoa bandiko anavyosema kuna mengi yapo nyuma ya pazia kuliko tunavyosema. Hao ADF wanasingiziwa lakini ukweli ni kwamba FARDC wanahusika na hili shambulizi.
Hiyo taarifa ni kwa mujibu wa online magazine ya Beni. Hawa huwa hawana kurembaWakati mwingine, ingawa sina uhakika, sio kila taarifa au picha za matukio yote ya mapigano ya kijeshi huwekwa bayana kimkakati wanaoujua wanajeshi wenyewe kama wataalamu
Mimi nna fikiri tofauti kidogo ..., na ninaingiwa na uwoga kidogo ..
Kwanza ninajiuliza swali la msingi kabisa, sielewi kwanini askari wetu wengi waliouawa ni Wazanzibari .. ?! Kama sikosei, ni askari 9 kati ya 14 waliouawa ni kutoka visiwani, sijui ni wangapi toja Pemba ama wangapi toka Unguja ...
La pili, katika mpangilio wa kijeshi, sidhani kama ni sahihi sana kuwalundika watu wa aina, kabila, dini moja katika kikosi kimoja ... Ni lazima kuna utaratibu fulani unafuatwa katika kuwapanga askari ili kuepuka ajali/makusudi/sabotage ya kuliumiza jeshi namna hii ..
Jambo hili la vifo vya wazanzibari askari vijana wengi namna hii ..., linatakiwa lipatiwe majibu na ma Jenerali wa JWTZ na sio UN peace force ....
Au wana JF tumeacha kufikiri siku hizi .... ?!
Can't we smell a rat in these killings ... ???!
Lakini inawezekana ni utaratibu uko hivyo kuwa askari kadhaa kutoka kikosi Fulani wanaenda kwenye mission nje. Huenda sio effective kwa jeshi kuchanganya askari kutoka vikosi tofaut tofauti wanapoenda kwenye mission moja huko nje. Huenda askari wanaojuana siku nyingi wanaweza kufanya kazi pamoja kwa ubora zaidi
Alafu eti wame hasi Uganda lkn hujuma zao zimeelekezwa Congo na si Uganda!!!!.. it's actually inconceivableHabari zenu wakuu. Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu hawa jamaa wanaojiita waasi wa ADF. Nimeshindwa kupata jibu ni nani anawafadhili kipesa na siraha. Kama Museveni ni adui wao, Rwanda ni adui wao, Congo ni adui wao na hata Tanzania ndo wametufanyia mbaya. Je, ni nani yuko nyuma yao? haiwezekani wakawa wana survive porini na wakati wamezungukwa na maadui kila kona. kuna mambo yaliyojificha na hatuyajui.
"I Will Wait For U At The Right Place And I'll Hit U"-Paul Kagame's Words To Kikwete.Habari zenu wakuu. Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu hawa jamaa wanaojiita waasi wa ADF. Nimeshindwa kupata jibu ni nani anawafadhili kipesa na siraha. Kama Museveni ni adui wao, Rwanda ni adui wao, Congo ni adui wao na hata Tanzania ndo wametufanyia mbaya. Je, ni nani yuko nyuma yao? haiwezekani wakawa wana survive porini na wakati wamezungukwa na maadui kila kona. kuna mambo yaliyojificha na hatuyajui.
Mpaka enzi hizi unazungumzia ubara na uzabzibar? U must have a problem upstairs!!! Sio bure.Mimi nna fikiri tofauti kidogo ..., na ninaingiwa na uwoga kidogo ..
Kwanza ninajiuliza swali la msingi kabisa, sielewi kwanini askari wetu wengi waliouawa ni Wazanzibari .. ?! Kama sikosei, ni askari 9 kati ya 14 waliouawa ni kutoka visiwani, sijui ni wangapi toja Pemba ama wangapi toka Unguja ...
La pili, katika mpangilio wa kijeshi, sidhani kama ni sahihi sana kuwalundika watu wa aina, kabila, dini moja katika kikosi kimoja ... Ni lazima kuna utaratibu fulani unafuatwa katika kuwapanga askari ili kuepuka ajali/makusudi/sabotage ya kuliumiza jeshi namna hii ..
Jambo hili la vifo vya wazanzibari askari vijana wengi namna hii ..., linatakiwa lipatiwe majibu na ma Jenerali wa JWTZ na sio UN peace force ....
Au wana JF tumeacha kufikiri siku hizi .... ?!
Can't we smell a rat in these killings ... ???!
Ukweli mtupu kagame and mseven should be suspected totally on this due to their former behavior they did to Tanzania during JK including planning to construct their rail.Kuna hii nimeikuta mahali, lakini pia kuna nyingine inamtuhumu Kagame kwenye group la Whatsapp
Who killed the 15 Tanzanian UN peace keepers? – Peril Of Africa
Hakuna mwanajeshi hata mmoja anaetoka nchi maskini na kujiongeza kama unavyofikiria.Kwakifupi Mimi sitaki kufahamu nani anawadhamini nachojihuliza Mimi kwanini hawa waasi wawashambulie hawa wanajeshi ambao awana hatia hivyo bila shaka kunajambo waasi walifanyiwa na hivyo nao wameamuwa kulipiza .maana baadhi ya wanajeshi wanao toka nchi masikini wakienda nchi Fulani kulinda amani nao wanakuwa wanajiongeza .
Mkuu mbona jibu lipo wazi wala sio gumu simple kabisa. Nakujibu la kufa Wazanzibari wengi ni hivi:Mimi nna fikiri tofauti kidogo ..., na ninaingiwa na uwoga kidogo ..
Kwanza ninajiuliza swali la msingi kabisa, sielewi kwanini askari wetu wengi waliouawa ni Wazanzibari .. ?! Kama sikosei, ni askari 9 kati ya 14 waliouawa ni kutoka visiwani, sijui ni wangapi toja Pemba ama wangapi toka Unguja ...
La pili, katika mpangilio wa kijeshi, sidhani kama ni sahihi sana kuwalundika watu wa aina, kabila, dini moja katika kikosi kimoja ... Ni lazima kuna utaratibu fulani unafuatwa katika kuwapanga askari ili kuepuka ajali/makusudi/sabotage ya kuliumiza jeshi namna hii ..
Jambo hili la vifo vya wazanzibari askari vijana wengi namna hii ..., linatakiwa lipatiwe majibu na ma Jenerali wa JWTZ na sio UN peace force ....
Au wana JF tumeacha kufikiri siku hizi .... ?!
Can't we smell a rat in these killings ... ???!
Mkuu nimeipenda sana hii link. Yaani wanatoa vitu kwa ushahidi mkubwa sana. Sins shaka hawa jamaa wana analyse kile wanachokipost na kukiwekea evidenceKuna hii nimeikuta mahali, lakini pia kuna nyingine inamtuhumu Kagame kwenye group la Whatsapp
Who killed the 15 Tanzanian UN peace keepers? – Peril Of Africa
Balozi Augustine Mahiga akihojiwa na BBC anatudanganya Eti Vijana wetu walipambana kwa saa 14, uongo mtupu, wale Vijana walipigwa Ambush ya kustukizaAjabu ninayoiona katika kadhia hii yote, ni kuwa hakuna mshambulizi hata mmoja aliyejeruhiwa na kutekwa! Au ni mimi sina habari?!
Balozi Augustine Mahiga akihojiwa na BBC anatudanganya Eti Vijana wetu walipambana kwa saa 14, uongo mtupu, wale Vijana walipigwa Ambush ya kustukiza