Labda ndiyo ile aliyomwambia kikwete I will hit you. Maana hawa watu wana asili ya kuweka visasi muda mrefu. Maana kwao ukabila hauwezi ishaBila kupepesa maneno tunajua Ni KAGAME
Unafikiri wamefanyiwa nini zaidi ya kukosa uhuru wa kile walichokikusudia?Kwakifupi Mimi sitaki kufahamu nani anawadhamini nachojihuliza Mimi kwanini hawa waasi wawashambulie hawa wanajeshi ambao awana hatia hivyo bila shaka kunajambo waasi walifanyiwa na hivyo nao wameamuwa kulipiza .maana baadhi ya wanajeshi wanao toka nchi masikini wakienda nchi Fulani kulinda amani nao wanakuwa wanajiongeza .
kabisa mkuu yule jamaa ndo anatu hit sasaLabda ndiyo ile aliyomwambia kikwete I will hit you. Maana hawa watu wana asili ya kuweka visasi muda mrefu. Maana kwao ukabila hauwezi isha
Mawazo yetu Ndio yanatuambia hivyo lakini sio Kweli .Unafikiri wamefanyiwa nini zaidi ya kukosa uhuru wa kile walichokikusudia?
Msamaha ni boraNitafurahi siku tukirevenge maana hamna namna. Kwenye zile picha kuna watu wana mabawa mawili maana yake ni komando ni gharama sana kumwandaa komando hivyo revenge pekee ndio itakayo lipa gharama ya damu iliopotea

Ipo siku tutawajua
Hilo halina ubishi hao ndio wachawi wetu.Acha kupoteza muda wapo wazi.
Ni Kagame na M7 kwa maslahi ya Wazungu.
Mimi nna fikiri tofauti kidogo ..., na ninaingiwa na uwoga kidogo ..Habari zenu wakuu. Nimekuwa nikifatilia sana kuhusu hawa jamaa wanaojiita waasi wa ADF. Nimeshindwa kupata jibu ni nani anawafadhili kipesa na siraha. Kama Museveni ni adui wao, Rwanda ni adui wao, Congo ni adui wao na hata Tanzania ndo wametufanyia mbaya. Je, ni nani yuko nyuma yao? haiwezekani wakawa wana survive porini na wakati wamezungukwa na maadui kila kona. kuna mambo yaliyojificha na hatuyajui.
nilifikiri ni jeshi la angaa mabawa mawili