MDG's - HABARI INA WALAKINI?


Source: The New Nation - Internet Edition

Where is Tanzania?
 
Iweje kuna watu humu na kwenye blogs wanataka kutuaminisha hii tuzo imetolewa na United Nations?????

mimi habari hii nimeisikia kupitia BBC lONDON JANA JIONI KWA MARA YA KWANZA, WAKASEMA IMETOLEWA NA TAASISI ZA UN, kisha mwishoni wakamuhoji mtendaji mkuu wa Haki Elimu hapa Tz, ambae kwa jinsia ni mama.
 
Mavi ya kuku! Upuuzi mtupu. Soma hapa kuhusu upupu wa hii award iliyotolewa na ka-NGO ambacho wanatafuta kutengeneza network za kuendeleza ufisadi.
Migiro alienda pale kama Mtanzania wa kawaida na sio kwa cheo chake cha UN.

Sintoshangaa kama wamenunua hii award. Tanzania ni wa Mwisho almost kwenye MDG targets. Jamani fuatilieni watu wenye magazeti yao wasiokuwa na upendeleo waandike ukweli kuhusu hii award kanyaboya! Soma hapa uelewe tulipo:

According to a report prepared by a Washington Think Tank, Tanzania is lagging behind fellow East African Community member states in achieving the millennium development goals targets by 2015.

"Who are the MDG trailblazers? A new MDG Progress Index" expresses disappointment on Tanzania, saying its high ratings in institutional performance, has not been replicated on MDGs.
W/Mkuu Mizengo Pinda akipokea tuzo toka kwa John Schneder​
“In fact, Tanzania’s performance is below the required achievement trajectory for every indicator examined,” said one of the researchers Ben Leo.

The country is, however, on the right track on primary education completion and reduction in child mortality rate, having achieved almost 50 percent of the required trajectory.

Uganda is the top ‘MDG trailblazer’ in the region, saying the landlocked country has made tremendous progress on majority of the indicators. “Africa accounts for four of the 15 countries ranked as “trailblazers,” on track to reach at least half of the examined MDG indicators by the 2015 target year. ” said Leo.

The researchers from Centre for Global Development allocated Uganda a progress index score of 5.0, having recorded four indicators above the trajectory threshold. The indicators are poverty reduction, ratio of girls and boys in primary and secondary education, HIV/AIDS prevalence rate and access to improved water source. The country is also making commendable progress on prevalence of under-nourished and maternal mortality ratio.

Kenya’s performance is considered average with a score of 3.0. The two indicators above the trajectory threshold in the country are poverty reduction and primary education completion rate. Progress is also being made on the girls: boys ratio in primary and secondary education and access to safe water sources.

Rwanda has a progress index of 3.0, with two indicators above the trajectory threshold. They are girls: boys ratio in primary and secondary education and reduction in HIV/AIDS prevalence rate. The country also has achieved at least 50 percent of the target in reducing child and maternal mortality.











Recognizing that conflict-torn countries account for most of the “MDG laggards,” the centre identified Tanzania, also considered the most stable in the region, as “perhaps the most surprising and interesting case”.

It is not known why Tanzania is unlikely to meet any of the eight development goals by the 2015 target date.

The top MDG progress performers are Honduras with a score of 7.0, Kyrgyz Republic (6.0), Vietnam (6.0), Laos (6.0) and Cambodia (6.0).

In Africa the top performers are Ethiopia with an index performance of 5.5, Burkina Faso (5.5), Ghana (5.0), Malawi (5.0) and Uganda (5.0).

The overall lowest performers are Guinea Bissau with an index of 0.0, Afghanistan (0.0), Congo-DRC (0.5) and Burundi (0.5), Papua New Guinea (1.0), Tanzania (1.0) and Zimbabwe (1.0).



credit source: Pamoja na zawadi bado Tanzania "suck" in MDGs - wavuti
 
Sintoshangaa kama wamenunua hii award.

Mkuu mchapakazi ofcourse hii award ni kama imenunuliwa indirectly kwa sababu ni only member countries wanashiriki na kuwa member unalipia. Hivyo basi wenye hiyo NGO watapenda kurotate ushindi ili ionekane attractive.

By the way hao jamaa unaweza kukuta hawajawahi kufika hata Tanzania na data za ushindi wamepewa na serikali.
 
Well, Maadam shirika la Marekani ndio litasambaza umeme nchini (bara) kwa fedha ya MDG (badala ya Tanesco), huo mradi pekee unatosha kupewa zawadi kubwa zaidi ya - Puppet of America.
 
Well, Maadam shirika la Marekani ndio litasambaza umeme nchini (bara) kwa fedha ya MDG (badala ya Tanesco), huo mradi pekee unatosha kupewa zawadi kubwa zaidi ya - Puppet of America.
Sasa sihitaji miwani kustukia hii move iliyojificha nyuma ya TAASISI ZA UN.

Kuna neno litatoka hivi karibuni nakwambia
 
Sasa sihitaji miwani kustukia hii move iliyojificha nyuma ya TAASISI ZA UN.

Kuna neno litatoka hivi karibuni nakwambia

Mkuu hii wala si taasisi ya UN
 
Well, Maadam shirika la Marekani ndio litasambaza umeme nchini (bara) kwa fedha ya MDG (badala ya Tanesco), huo mradi pekee unatosha kupewa zawadi kubwa zaidi ya - Puppet of America.

Haha haha hahaha!!!!!!
 
Flip that!, usanii fulani huo na ilibidi aende yeye mwenyewe kufuatilia kamradi kake ila tatizo kampeni! wananchi vijijini wanaacha kazi zao na kuufukuza kwa miguu msafara wake bila kujua watakula nini next day!,heheheh! noooooooooooooooooooooo!:confused2:
 
Hiyo ni fake kwa sababu MDG 2 achieve universal education inajumuisha enrolment and completion of primary education - quantity and quality. Tanzania bado sana kwenye hilo!
 
Hiyo ni fake kwa sababu MDG 2 achieve universal education inajumuisha enrolment and completion of primary education - quantity and quality. Tanzania bado sana kwenye hilo!

CCM ni kama imelogwa kwaliti kwao ni msamiati wasio uelewa kabisa na uthibitisho ni jinsi ofisi zao zilivyo nchi nzima. Pamoja na ruzuku zote wanazopata lakini ofisi ziko hoi zaidi zaidi zimekodiswa kwa watu binafsi na kuzifanya kituko zaidi!!!!!!

And you wonder hao waheshimiwa wanaoona hawastahili kutembelea Suzuki ofisi za chama chao ziko namna hiyo!!!!!!
 
Hiyo ni fake kwa sababu MDG 2 achieve universal education inajumuisha enrolment and completion of primary education - quantity and quality. Tanzania bado sana kwenye hilo!
Ukifikiria maswala ya Primary education ya Tanzania, Yanaleta hadi njaa mkuu.
 
Inawezekana lengo ni kuwapa moyo ili waendelee zaidi na juhudi za kufikia malengo ya millenia lakini ukweli upo pale pale. Sisi wenyewe ndiyo tunajua hali halisi ilivyo hata Mheshimiwa aliyepokea tunz anaelewa sema Siasa ndiyo ilivyo. Iweje uchafu uliokithiri kwenye miji na ongezeko la Mbu na ukosefu wa dawa za kutibu malaria; Ukataji wa miti hovyo na uhalibifu wa vyanzo vya maji halafu useme tunapewa tunzo? kwa kweli tuko katika hali mbaya na sijui tutatokaje kirahisi.
 
Tanzania imefanya vizuri katika Lengo la Elimu la kuhakikisha Watoto wote wanaandikishwa shuleni, na kufikia Asilimia 95 mpaka sasa.*
Nnyambala kigumu kipi? kilichopimwa ni uandikishaji wa watoto kuingia shule na si ubora wa elimu itolewyo au wangapi wanoingia wanamliza darasa la saba. Tayari kuna asasi inayofanya utafiti wa kuangalia ubora wa elimu kwa kuangalia uelewa wa wavigezo vyao kwa watoto wa darasa la pili,k.m hesabu, kusoma, kuandika. Sasa matokeo hay yatatupa ukweli kama ni bora elimu au elimu bora. Nilpokuwa mwanafunzi shule yetu tulikuwa na waalimu ambao mtoto asipoweza kuja kusoma na kuandika anapomaliza darasa la kwanza bas lazima akaririr darasa na mwak ujao mboko zitakuwa jadi yake mpaka aimprove. Natamani walimu wa leo wangekuwa na ari hiyo!!
 
Habari hii imechakachuliwa kwa ajili ya kampeni za kisiasa. Nchi za Afrika ziizopewa tuzo ni Sierre Leone, Rwanda na Liberia na Asia ni Nepal, Cambodia na Bangladesh. Jumla ni nchi sita tu. Hiyo tuzo ya Tanzania pengine ni nje ya mfumo wa MDG awards committee
 

Hata mimi sijaelewa kipengele kipi cha elimu wanachozungumzia! Na sijui wamepita eneo gani kuhakiki (proof) their findings, honestly, am lost!
 
Ngoja nitoe mchango wangu nami!

In 2000, 189 world leaders including Tanzania committed to eight Millennium Development Goals (MDGs) ranging from halving extreme poverty and hunger and rolling back killer diseases such as AIDS and Malaria and providing universal primary education. In short MDGs consists of

  1. Eradicate extreme poverty and hunger
  2. Achieve universal primary education
  3. Promote gender equality and empower women
  4. Reduce Child Mortality Rate
  5. Improve maternal health
  6. Combat HIV/AIDS, malaria, and other diseases
  7. Ensure environmental sustainability
  8. Develop a global partnership for development
Political commitment is highly needed to achieve these MDGs, wanaposema "to achieve universal primary education, this goal should go hand in hand with the quality. Si zile shule za Lowassa,Kata na hata za msingi hakuna waalimu na kama wapo basi wale wa vodafasta! I am not convinced Tanzania has achieved any of the MDGs, sababu kwanza Ufisadi tulionao ni wa kufa mtu. Umasikini na ufukara uliokubuhu umeongezeka sana,hasa kipindi hiki cha Kikwete hata tukienda kwenye elimu ya msingi there no many new primary school rather than flooding the existing ones with poor students, with no books and teachers.










Moja ya shule za Msingi Tanzania kwenye Karne hii ya 21. (On the photo are the pupils of Juhudi Primary School in Kigoma Rural – district in Kigoma region)

Hao agent wa UN, wametumia indicator zipi kuaminisha ulimwengu kuwa Tanzania inastahili award? This is a million dollar question, Pinda, Kinana na Joti (Kikwete) hawawezi kujibu. There is no statistic package that can convince otherwise. Our economy is going down, shilling inashuka kila kukicha kwa sisi kufikia malengo ya MDGs chini ya hawa CCM ni ndoto. Lets agree to bury the MDGs in the graveyard we can't move ahead chini ya uongozi wa Kikwete


Lets go for a change


Rev Masa
 
Iweje kuna watu humu na kwenye blogs wanataka kutuaminisha hii tuzo imetolewa na United Nations?????

Propaganda za CCM hizo. Kwa jinsi maji yalivyowafikia shingoni, hata wewe ukiwaita nyumbani kwako kuwapa award nakuhakikishia watakuja ilimradi kuna vyombo vya habari!!
 

Mchungaji,

tatizo nyumbani hakuna media ya kueleweka. Habari hii mtu angeacha kazi kwa kueneza propaganda na uongo.

Nyambala, asante sana mkuu. Ombi kwa modi, hii topic sio tetesi tena. Huu ni ukweli kuwa hii MDG ni NGO na wala sio part ya UN
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…