Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,935
- 183,395
Si naiita mizimu inampendesha kilazima[emoji1787]Kwa dunia hii iliyojaa mizimu watu! We subiri tu muda si muda mizimu inacheza za hisia zako za mahaba..[emoji4]
Si naiita mizimu inampendesha kilazima[emoji1787]Kwa dunia hii iliyojaa mizimu watu! We subiri tu muda si muda mizimu inacheza za hisia zako za mahaba..[emoji4]
Tena wewe hata hiyo aisee hatutaweka tutaweka vinukta tu ... Nikijitahidi sana nitaongeza neno NA BADODua la kuku hilo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mwingine nimemsoma jana naye ni kilio eti amemiss mapenzi ya nainai[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena wewe hata hiyo aisee hatutaweka tutaweka vinukta tu ... Nikijitahidi sana nitaongeza neno NA BADO
Humu ni balaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Humu ndani kuna vibweka acha kabisa.
Halafu nimekununia[emoji57]
Mizimu yako hiyo unayoziraga nayo ni mizimu sasa! Mizimu inaomba hadi bagia!.. mizimu gani inakula ubuyu inatema na mbegu..?Si naiita mizimu inampendesha kilazima[emoji1787]
Aaah usiusingizie mwezi maana nina hasira hapa na tozo.Humu ni balaa...
Hebu subiri kwanza? Umeninunia kwa habari ya nini jamani? Mwezi wenyewe huu kama unavyouona?
Si ndio maana hayanikuti[emoji1787]Mizimu yako hiyo unayoziraga nayo ni mizimu sasa! Mizimu inaomba hadi bagia!.. mizimu gani inakula ubuyu inatema na mbegu..?
Kama ni mungu huyu wa tz pole maana keshakusogeza kwa watoto wake anaowaita wana na mwana nipo hapa..😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wengine sisi waziwanda wa Mungu.
Mwana wewe inaonekana una undugu na matukio, hivyo nitajikuta tu nakupiga tukio bila kupenda[emoji1787]Kama ni mungu huyu wa tz pole maana keshakusogeza kwa watoto wake anaowaita wana na mwana nipo hapa..[emoji23]
Tozo kama tozo... haki nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23]Aaah usiusingizie mwezi maana nina hasira hapa na tozo.
Si nilikumiss, sijui ulipotelea wapi[emoji2297][emoji2297]
"Ziara za mikoani", daah na kweli hizi ni ziara walah[emoji2297][emoji2297]Tozo kama tozo... haki nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipotelee wapi jamani.. wewe ndiyo umepotea.. naambiwa unafanya ziara za Mikoani ni balaa[emoji23][emoji23]
Na nilivyokumiss siwezi hata kueleza.. Naomba zawadi ya Sikukuu basi
Huwezi jaribu hii chata uone navyokupiga kwata..😀Mwana wewe inaonekana una undugu na matukio, hivyo nitajikuta tu nakupiga tukio bila kupenda[emoji1787]
Unakaroho kadogo wanajua wakipepesa tu chali tunaimba alitwaa alitwaa.Si ndio maana hayanikuti[emoji1787]
[emoji126][emoji126][emoji126]"Ziara za mikoani", daah na kweli hizi ni ziara walah[emoji2297][emoji2297]
Twende Iringa.
Zawadi tu umepata, sema kingine.
Aaah! Ulishindwa kwa hao walokupigisha kwata sembuse mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huwezi jaribu hii chata uone navyokupiga kwata..[emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakaroho kadogo wanajua wakipepesa tu chali tunaimba alitwaa alitwaa.
Njoo uchukue dada, au umesahau tozo[emoji1787][emoji1787][emoji126][emoji126][emoji126]
Sasa nikutumie Acc. NO. Au Nisubiri kupambana na Makato?
Iringa lini tena? Maana Mdogo wangu wewe[emoji114]