Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,610
Kuna polisi alishika gari alilokuwa anaendesha Mganda, walishindwa kuelewana akaambiwa pita tu na makosa yakeWanabodi,
Nimesikia tetesi kuwa mdahalo utakuwa kwa English, sababu ni kwamba utarushwa live na DSTv na BBC ili dunia iwasikie.
Kwa wagombea wasiojua lugha ya dunia, yaani global language nawapa heko. Wajiandae