Mdahalo wa wagombea urais ufanyike kwa English

Entim

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
4,021
2,253
Wanabodi,

Nimesikia tetesi kuwa mdahalo utakuwa kwa English, sababu ni kwamba utarushwa live na DSTv na BBC ili dunia iwasikie.
Kwa wagombea wasiojua lugha ya dunia, yaani global language nawapa heko. Wajiandae
 
Yale yale ya kuweka ilani kwenye website. Halafu? Mdahalo kwa wanaojua kizungu au kwa manufaa ya watanzania ambao lugha yao ya taifa ni kiswahili?
 
Kwani tunatafuta viongozi wa kuongoza kampuni ya DSTV au shirika la utangazaji la uingereza BBC?

Halafu na wewe kama kwa kuandika kwa lugha ya kiswahili tu ni shida, je kiingereza siyo taabu kabisa?

Hebu cheki tu tittle ya hoja yako "........mdahalo ufanyike kwa English!" badala ya ".........mdahalo ufanyike kwa lugha ya Kiingereza"

"English" hata haina maana ya "Lugha ya Kiingereza" kwa maana ya "English Language" bali tittle ya hoja yako kwa mtu makini haina maana ya uliyokusudia kimantiki.
 
Nadhani mamvi atapigwa swali hadi atajinyea tena yaani cpati picha
 
Back
Top Bottom