Huyo Iddi Simba ni mshauri kweli na hizo pesa alizolipwa kodi imelipwa? au mdio Taperi wa SaigonSwali: manunuzi ya hisa umelipia kodi Jibu: yamelipiwa
Swali: Idd Simba anasema pesa ulizolipa na consultation fee Jibu: Swali ni la Idd Simba sio langu
Swali: Umeshiriki baada ya kuongea na wanasheria wako kwamba benki isilipwe huoni kwamba wewe ni muhalifu Jibu: Sio wajibu wetu sisi
Kisena ni Mjanja Mno,
Katumia ile trick ya kutafuta sympathy kwa wamatumbi wenzie, kwamba yeye ni mwekezaji wa kizalendo na wapo watu wanampinga hivyo wanawatumia wananchi kumdhoofisha na alipotaja muhindi (Manji) ndio kamaliza kabisa
Kuna Maswali mengi ambayo bado yanaleta kizunguzungu, mpaka sasa sijaona jibu la kueleweka ni kwa nini pesa ziende kwenye Account binafsi? japo anazungumzia barua inavyodai alkini kuna walakini
Hilo swali la kushindanishwa na wengine pia bado halina majibu ya kuridhisha
kwa kweli huo ndio mwanzo hasa wa issue nzima
Jamaa anamiliki mabilioni alafu haoni tatizo kuyataja ujue huyo anajua anachofanya,kiukweli nimewashangaa sana wanahabari kwa maswali ya kijinga kiasi kile yaan wanauliza maswali ambayo hawajayafania research wala nn full kukurupuka
<br />kesho manji ataita waandishi wa habari kuwaambia kwamba simon kamchafua so anamfungulia kesi amlipe senti tano kama fidia
Rosemary did a great Job, we nafikiri umesimuliwa tu hukufatiliaRosemary Mwakitwange anaelemewa na hii debte, next timer watafutwe watu strong kama Jenerali ulimwengu
Kumbe maji naye yumo!!! CCM inaua!
<br />Swali: manunuzi ya hisa umelipia kodi Jibu: yamelipiwa<br />
Swali: Idd Simba anasema pesa ulizolipa na consultation fee Jibu: Swali ni la Idd Simba sio langu<br />
Swali: Umeshiriki baada ya kuongea na wanasheria wako kwamba benki isilipwe huoni kwamba wewe ni muhalifu Jibu: Sio wajibu wetu sisi
<br />
<br />
Nipo hapa naona mafundi mitambo wanafunga mitambo mpaka wamevua mashati yao! Ingawa mimi simtaalamu wa mitambo maeneo waliyofungia hili dish lao hapa Moven Pick msishangae mitambo kukatikakatika!!
sasa unashangaa nn kama mtu alikodishwa kiwanja cha ndege na akawa analipa dola 1,000 kwa mwaka! yaani 1000x1600=1,600,000! sembuse hiyo 20,000,000?Duuh wahindi wanatumaliza kudadeki heka 12.5 kwa sh 20m
kamati ya zitto imepigwa stop na mh. spika hakuna kuchunguzano comment mpaka nione ripoti ya kamati iliyoundwa.
kwa faida ya wahindi siyo?
kumbe jamaa alivosema tunakwamishana wenyewe alikuwa ana hoja.
heri mtanzania amiliki kampeni kitapeli kuliko Mhindi kumiliki kampuni kihalali.
That is my verdict