GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
- Thread starter
- #161
Mkuu are you serious...!!! ???, kweli tunakwamishana wenyewe......
Hivi wewe shida yako ni kuona kampuni inafanya kazi kwa manufaa ya watanzania au ni kuona mzaliendo anamiliki kampuni hata kama inakufa ?
Alafu hii notion ya kwamba Muhindi sio mtanzania imetoka wapi?
Na hapa issue sio kumpa kampuni muhindi kwa sasa ni kampuni ibaki kwa wananchi na sio kupeana kimagumashi.
Much thanks kwa kusimamia Show kwa kiwango cha juu. Mwenye macho kasoma
ALUTA CONTINUA