VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Swali: Takukuru ifanye uchunguzi kwenye kampuni....., Nyie ni wamiliki wa UDA iweje sasa useme mmepanga ndani
Jibu; Takukuru wanaendelea na upelelezi tuache waendelee nilishaitwa nikaa na Takukuru masaa 3; Kuhusu kupanga Simon group sio mmililki wa UDA ni mmoja wa wamiliki wa UDA na mimi ninapanga pale lakini Manji anapanga eneo kubwa na analipa pesa kidogo
Jibu; Takukuru wanaendelea na upelelezi tuache waendelee nilishaitwa nikaa na Takukuru masaa 3; Kuhusu kupanga Simon group sio mmililki wa UDA ni mmoja wa wamiliki wa UDA na mimi ninapanga pale lakini Manji anapanga eneo kubwa na analipa pesa kidogo