Mdahalo huru: Team android na Team iphone tukutane hapa

Mdahalo huru: Team android na Team iphone tukutane hapa

Kweli katika Android unaweza kufanya mengi.
Ukiniachia simu yako ya Android for 2 minutes nakuhack kila kitu. Ila nikikuachia hii Iphone for whole day huwezi kuni hack


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Iphone uwezo wake wa matumizi sio mkubwa kama android
Iphone huwezi kuconnect youtube ya simu kweny tv.
Iphone huwezi kubadili themes
Iphone kila simu muonekano wa ndani ni hule hule
Naona unaishi kwenye dunia ya kukalili. Uwe na siku njema
 
Samsung pekee inayoweza kuizidi gharama Iphone ni S20 Ultra, Galaxy fold labda na Z flip(sijajua bei yake). The rest hakuna simu ya samsung inayoizidi bei Highest end ya iphone....

Wewe ukipoteza samsung yako na mimi nikapoteza iphone yangu. Iphone inaweza kuwa rahisi kupatikana sababu ya Apple ID kitu ambacho samsung hana.

Binafsi naipenda Iphone for security reasons. Pia ni simu ambayo ipo consistence sana kwenye camera...
Tatizo baadhi ya watu wanaamini iPhone ni ghali zaidi kulinganisha na simu nyingine.
Hivo mtu akiwa na iPhone kayapatia maisha.
Hawajui kwamba baadhi ya Galaxy phones na nyinginezo za Android zina gharama kulingana na kuzidi iPhones.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unaongea kitu usichokijua kabisa.

Vunja kioo chako cha samsung mwingine akavunje kioo chake ya iphone. Halafu nendeni mkatafute spare uone wewe wa samsung kitakachokupata.

Security ya Apple ID imepelekea spare za iphone kuwa bei cheap.
Kujiachia kimatumizi.jua simu saivi ni biashara,inakuwezesha kufanya mambo mengi ya kibiashara.android hata ikiaribika spare utatengeneza,ina apps nying zitakuwwzesha kufanya mambo mengi kuliko iphone.kwenye android unauwezo wa kufanya mambo meng kuliko ukiwa iphone

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaposema unapata iphone 2 basi be specific. Bei ya hiyo simu yako naweza pata iphone 11 mbili?
Mkuu sikupingi iPhone moyeyusho na michisho sana ukitaka kuenjoy simu android ni mahara pale iPhone cjui kama intaitumia ktk maisha yangu natumia Samsung A51 bei yake napata iPhone hata 2 ila sizipendi iPhone coz zina rimit sana, kwa sasa iv ukiwa na 350k unapata used iPhone kwaiyo ni maamzi na mapenzi tu swala sio bei

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi sana.
Hizi ni mojawapo ya dhana na nadharia ambayo ni cheap sana, kwa mtu wa kawaida hivi vitu unavyovizungumza anaweza asivifanye kabisa kwenye simu ya Android au iPhone, lakini kwa geeks kinachowezekana kufanyika ndani ya simu ya Android basi hata kwenye simu ya iPhone kinafanyika. Ila kwa kuwa watu wamekaririshwa kuwa haiwezekani kwenye iPhone basi huwa wanaamini haiwezekani bila kujua kuwa technology inakua kwa kasi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samsung cloud ni weak ukilinganisha na apple ID.

Iphone ya mwaka 2017 inapokea Ios 13. Nitajie Android ya mwaka 2017 ambayo inapokea android 10.
Iphone uwezo wake wa matumizi sio mkubwa kama android
Iphone huwezi kuconnect youtube ya simu kweny tv.
Iphone huwezi kubadili themes
Iphone kila simu muonekano wa ndani ni hule hule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samsung pekee inayoweza kuizidi gharama Iphone ni S20 Ultra, Galaxy fold labda na Z flip(sijajua bei yake). The rest hakuna simu ya samsung inayoizidi bei Highest end ya iphone....

Wewe ukipoteza samsung yako na mimi nikapoteza iphone yangu. Iphone inaweza kuwa rahisi kupatikana sababu ya Apple ID kitu ambacho samsung hana.

Binafsi naipenda Iphone for security reasons. Pia ni simu ambayo ipo consistence sana kwenye camera...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijaongelea kwenye uwezo. Nimeongelea dhana ya kwamba mtu anaamini iPhone ndio simu ghali pekee.

Wewe unaweza ukawa unamiliki iPhone macho matatu lakini sio wote.
Nimeona iPhone 6 zinauzwa hadi laki 3 hiyo si bei ya Tecno kabisa?. Kwahiyo mtu kuwa na iPhone haimaanishi ndio simu ya gharama zaidi ya Tecno.
Hata mmiliki wa tecno akiamua kununua iPhone 6 yoyote na iPhone 7 anaweza. Bei ni zile zile.
 
Hizo iphone 6/6+ ni simu za miaka 6 iliyopita. Hivyo bei yake kuwa sawa na Tecno ya sasa hivi siyo kitu cha ajabu.

Tujaribu kulinganisha Tecno ya wakati ule na Iphona za wakati ule.

Halafu pia kaa ukijua hizo iphone 6 unazoona zinauzwa 300k ni refurbished.

Nenda katafute Iphone 6 mpya ambayo ni unboxed ebay uone bei yake.
Mimi sijaongelea kwenye uwezo. Nimeongelea dhana ya kwamba mtu anaamini iPhone ndio simu ghali pekee.

Wewe unaweza ukawa unamiliki iPhone macho matatu lakini sio wote.
Nimeona iPhone 6 zinauzwa hadi laki 3 hiyo si bei ya Tecno kabisa?. Kwahiyo mtu kuwa na iPhone haimaanishi ndio simu ya gharama zaidi ya Tecno.
Hata mmiliki wa tecno akiamua kununua iPhone 6 yoyote na iPhone 7 anaweza. Bei ni zile zile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiachia kimatumizi.jua simu saivi ni biashara,inakuwezesha kufanya mambo mengi ya kibiashara.android hata ikiaribika spare utatengeneza,ina apps nying zitakuwwzesha kufanya mambo mengi kuliko iphone.kwenye android unauwezo wa kufanya mambo meng kuliko ukiwa iphone
Nimesoma comment mpaka hapa watu wa android point yao ni ukiwa na androids unajiachia na kutumia vitu vingi, sadly mpaka najibu hii comment hakuna aliyemention hata kitu kimoja ambacho anajiachia nacho na anakikosa kwenye iphone🤔
 
Hizo iphone 6/6+ ni simu za miaka 6 iliyopita. Hivyo bei yake kuwa sawa na Tecno ya sasa hivi siyo kitu cha ajabu.

Tujaribu kulinganisha Tecno ya wakati ule na Iphona za wakati ule.

Halafu pia kaa ukijua hizo iphone 6 unazoona zinauzwa 300k ni refurbished.

Nenda katafute Iphone 6 mpya ambayo ni unboxed ebay uone bei yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, kumiliki iPhone ni kuyapatia maisha.
 
Back
Top Bottom