Wiwachu
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 809
- 926
Mkuu sikupingi iPhone moyeyusho na michisho sana ukitaka kuenjoy simu android ni mahara pale iPhone cjui kama intaitumia ktk maisha yangu natumia Samsung A51 bei yake napata iPhone hata 2 ila sizipendi iPhone coz zina rimit sana, kwa sasa iv ukiwa na 350k unapata used iPhone kwaiyo ni maamzi na mapenzi tu swala sio bei
Kujiachia kimatumizi.jua simu saivi ni biashara,inakuwezesha kufanya mambo mengi ya kibiashara.android hata ikiaribika spare utatengeneza,ina apps nying zitakuwwzesha kufanya mambo mengi kuliko iphone.kwenye android unauwezo wa kufanya mambo meng kuliko ukiwa iphone
