Mdahalo huru: Team android na Team iphone tukutane hapa

Mdahalo huru: Team android na Team iphone tukutane hapa

Kwenye hili naungana naww mkuu,. In another case ,watumiaji wengi wa iPhones Tanzania tumebase mostly kwenye iPhone 5 ,6, na 7 . Ndio maana tunashindwa kuona new features ambazo latest updates imetoa . Inshot nikwamba ,hata katka swala zima la masoko yakidunia niukweli usiopingika kuwa iPhones ndio ziko top kwamauzo. Hi inamaanisha nisisi tu Watanzania tunaishindwa kumudu bei lakin sio wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Very true
 
Back
Top Bottom