Bullshit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,300
- 1,495
Binafsi napenda kutumia simu ya android kwasababu inanipa uhuru wa kufanya vitu vingi kuliko simu za iphone
Team iphone ni kama wamewekewa limit ya kutumia simu ila team android full kujiachia.
Napenda sana muonekano wa ndani wa simu za android ni bomba sana kuliko iphone.
Team android tunaweza kufanya mambo mengi na simu kuliko iphone mf:kuonganisha youtube ya simu na tv yako.kubadili muonekano wa ndani.ku download files na mambo mengi,kutumia apps zozote unazotaka hata ambazo hazipatikan kwenye play store,kubadili spare,format simu nk...
Haya mambo kwenye iphone utayasikia tu.
wengine ongezeeni nyama
Karibuni
Team iphone ni kama wamewekewa limit ya kutumia simu ila team android full kujiachia.
Napenda sana muonekano wa ndani wa simu za android ni bomba sana kuliko iphone.
Team android tunaweza kufanya mambo mengi na simu kuliko iphone mf:kuonganisha youtube ya simu na tv yako.kubadili muonekano wa ndani.ku download files na mambo mengi,kutumia apps zozote unazotaka hata ambazo hazipatikan kwenye play store,kubadili spare,format simu nk...
Haya mambo kwenye iphone utayasikia tu.
wengine ongezeeni nyama
Karibuni