sizungumzii mapenzi ya Zanzibar kuungana na bara; ninachosema ni kuwa Wazanzibar wanaweza kwenda nje ya Muungano (na inapaswa kuwa hivyo mapema zaidi) lakini ni wao wanaojidanganya kudhania kuwa wanaweza kuishi na kufanikiwa bila bara. Sisi bara tunaweza kuishi na kufanikiwa bila Zanzibar wao hawawezi.
wanaweza wakaish bila bara,,,,,,,nje ya muungano,swala ni MIPANGO TU