Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
- Thread starter
- #21
Kama unampenda Nyerere na kushabikia falsafa zake na wakati huo huo unataka mageuzi kidemokrasia, kiteknolojia na kiuchumi. Basi unahitaji kupimwa akili na mtu kama mimi siwezi kukuunga mkono maana najua hakuna unachojua unacopy copy tu na ku-paste.
Hizo red ingawa unaweza kuwa sahihi kwa namna fulani lakini what is your reference? naona kama unaotea otea hivi! hata hivyo Hivi mtu anaeunga mkono falsafa za Nyerere hatakiwi kuwa mtaka mageuzi ya kidemokrasia, teknolojia na uchumi? I doubt that you ever think!!
hizo blue anayehitaji kupimwa akili ni mimi kweli?
Hapo kwenye purpple, sasa mkuu ulitaka nimcopy nani Tanzania hii! hivi unamuelea Nyerere?
Naona kinachokutatiza ni ubinafsi na udumavu wa akili karibu hapa utapa dawa, YOUR SINGLE FUNCTIONING MIND LIKE A WRIST WATCH WILL then become a truely great thinker, JF inahitaji kutibu vichwa kama chako, magamba yatakutoka!