Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
Katika Miongozo yake Mwl Nyerere alisema
"....THE CCM PRESIDENTIAL CANDIDATE (AND VICE PRESIDENTS) NEEDS TO BE A PERSON OF COMPLETE HONESTY AND INTERGRITY, CAPABLE, STRONG, FIRM, AND WITH CLEAR PRINCIPLES WHICH HE CAN EXPLAIN AND DEFEND...."
Sasa kwa haya machache hadi leo siamini Alichokifanya JK kwa Kugoma kuhojiwa au Kufanya MDAHALO katika vyombo vya HABARI! tena na kuagiza na wagombea wote wa CCM kukataa kuhojiwa kwenye midahalo ya aina hiyo kipindi chote!
Hakika nililipenda japo tungepata MDAHALO KATI YA Dr JK na Dr Slaa! wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana!
Manyoya huwa yananisimama nikijaribu kupata picha ya MDAHALO huo ungekuaje aiseee!
Kwa nini JK katukosesha haki zetu kama watanzania kumuhoji laivu (acha yale mahojiano ya mwisho, pale ANATOGLOU, siyaamini kabisa)
Baada ya kujipa angalizo hilo hapo juu la Mwl Nyerere, najiluliza maswali yafuatayo:
1. Je JK Hakidhi sifa alizoanisha Nyerere? (zisome tena tafadhali) (tusijesema hatukuambiwa)
2. Je JK na wagombea wengine wameshindwa kuexplain na kudefend their honesty, intergrity, strength, firmness na principles zao, kutokana na magamba yao?
3. Je JK ANAMGWAYA (anamuogopa) Dk Slaa kupambana nae katika mdahalo wa laivu?
MASWALI MADOGO YA NYONGEZA:
aaa) Je hivi watanzania ni watu wa aina gani, kwa kuwachagua watu ambao hawawezi kujitokeza bila aibu mbele ya vyombo vya habari na kuhojiwa ili kupimwa kama wanafaa au hawafai?
bee) Hizi mambo za mtu anaongoea ahadi zisizoyamkinika za mabomba kutoa maziwa na asali na kila baada ya sekunde kumi anamalizia na (C*M oyeee!!!) zitaendelea hadi lini?
tena kuulizwa maswali hataki, yaani ni sawa na mtu anayetaka kupewa ajira na hataki kufanyiwa INTERVIEW, tena mwisho wa siku wanachaguliwa :lock1:AISEE TANZANIA NI NCHI YA AJABU SANA!
MUNGU ATUTAZAME!
"....THE CCM PRESIDENTIAL CANDIDATE (AND VICE PRESIDENTS) NEEDS TO BE A PERSON OF COMPLETE HONESTY AND INTERGRITY, CAPABLE, STRONG, FIRM, AND WITH CLEAR PRINCIPLES WHICH HE CAN EXPLAIN AND DEFEND...."
Sasa kwa haya machache hadi leo siamini Alichokifanya JK kwa Kugoma kuhojiwa au Kufanya MDAHALO katika vyombo vya HABARI! tena na kuagiza na wagombea wote wa CCM kukataa kuhojiwa kwenye midahalo ya aina hiyo kipindi chote!
Hakika nililipenda japo tungepata MDAHALO KATI YA Dr JK na Dr Slaa! wakati wa kampeni za uchaguzi mwaka jana!
Manyoya huwa yananisimama nikijaribu kupata picha ya MDAHALO huo ungekuaje aiseee!
Kwa nini JK katukosesha haki zetu kama watanzania kumuhoji laivu (acha yale mahojiano ya mwisho, pale ANATOGLOU, siyaamini kabisa)
Baada ya kujipa angalizo hilo hapo juu la Mwl Nyerere, najiluliza maswali yafuatayo:
1. Je JK Hakidhi sifa alizoanisha Nyerere? (zisome tena tafadhali) (tusijesema hatukuambiwa)
2. Je JK na wagombea wengine wameshindwa kuexplain na kudefend their honesty, intergrity, strength, firmness na principles zao, kutokana na magamba yao?
3. Je JK ANAMGWAYA (anamuogopa) Dk Slaa kupambana nae katika mdahalo wa laivu?
MASWALI MADOGO YA NYONGEZA:
aaa) Je hivi watanzania ni watu wa aina gani, kwa kuwachagua watu ambao hawawezi kujitokeza bila aibu mbele ya vyombo vya habari na kuhojiwa ili kupimwa kama wanafaa au hawafai?
bee) Hizi mambo za mtu anaongoea ahadi zisizoyamkinika za mabomba kutoa maziwa na asali na kila baada ya sekunde kumi anamalizia na (C*M oyeee!!!) zitaendelea hadi lini?
tena kuulizwa maswali hataki, yaani ni sawa na mtu anayetaka kupewa ajira na hataki kufanyiwa INTERVIEW, tena mwisho wa siku wanachaguliwa :lock1:AISEE TANZANIA NI NCHI YA AJABU SANA!
MUNGU ATUTAZAME!