Mdada wa benki wa ukweli sana

Mdada wa benki wa ukweli sana

Nilienda na milioni mbili elfu kumi kumi tupu na nilizihesabu zaidi ya mara 3 zikawa fresh sikuzipanga kwa laki laki nikaweka pamoja nikafunga ruber band nikasokotea kwenye nylon nikaenda bank nikaandikisha acount namba yangu na majina nikaakaa kwenye folen mpaka ikafikia zam yangu nilipofika pake mapokezi nikampa karatasi na hela nikafungua ile nylon na zile ruber band nikampa akapokea akawa kama anazipigia pigia pale mezani kama anazishawazisha zilingane alafu akatulia akawa kama kuna kitu anashangaa nyuma yangu yani kama anaangalua wale nilowaacha kwenye foleni mimi si nikageuka kutizama ***** pale hakuchelewesha akadondosha hapo niti 3alafu ile hela akaweka kwenye mashine ya kuhesabu akaniambia bado hela mi nikamwambia kivipi akasema bado 30 huwezi amini nilimkalipia hadi akaja mama mmoja nadhani ni mkubwa wao nikamwelezea kumbe ule mchezo niliushtukia nikamwelezea yule mama niko tayari tuangalie camera yaani nilikomaa hadi akanywea..
Ni story ndefu mkuu siwezi imaliza saa hivi
Dah kumbe wezi hawa aisee
 
namjua vizuru, mweupe mfui wa wastani, anaitwa Jane, binti wa mama Maria, nimepiga sana huyo kavu kavu, maamamamaae
 
namjua vizuru, mweupe mfui wa wastani, anaitwa Jane, binti wa mama Maria, nimepiga sana huyo kavu kavu, maamamamaae
Nimetoka kumtolea mahari na harusi ni jumamosi lakini kwa comment hii...nimesitisha kila kitu wanalipe gharama zangu
 
Kuna mwingine nilimkuta benki ya posta njombe mjini karibu na kanisa la KKKT.EE BWANAEEEEEEEEEE.WAKUBWA WANAFAIDI
 
Mtongoze kikawaida tu mjomba. Hao wanaosem Eti hela hela hela! Midomo yao imejaa zege. Unaweza kumuona demu mkali kumbe masikini yuko simple..saa kila mtu anaogopa kumtongoza kwa ukali wake, wewe ukiingia na lugha laini ya kawaida unakula mzigo. Mwanamke wa maana na anayejielewa ukianza kumtanguliza pesa anaweza kukudharau sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ukweli mkubwa hapa
 
Back
Top Bottom