- Thread starter
- #41
Hivi huwa wanapataga huku kweli, maana me sio mwenyeji san huku
Mimi naamini ntapata...
Hivi huwa wanapataga huku kweli, maana me sio mwenyeji san huku
Umbo hubadilika...
anaenda na wakati????
kivipi
ANAWAHI KUAMKA NA KUAHI JOB AMA NINI
Umbo hubadilika...
Una kazi???? hela unayo??
Si achonge mdori tu
Kwenye chuo KIKUU(MA) sijaelewa mchumba.....
Sifa zipo bt naishi na wazazi
huyu ni punga tu
Vyote sina ndugu yangu..
bado sijaona pm yako.
katafute kwanza ndo ulete tangazo..