Mdada unaogaje?!

Mdada unaogaje?!

Lazima 😂 ila binamu nimekula kipindi nipo nakua usiku nilikuwa naogopa kulala mwenyewe kutokana na ndoto mbaya usiku so tulikuwa tunakaa na binamu so usiku tulikuwa tunalala wote na yey ndio alianzisha uchokoz tukaendelea kuna mda tulikuwa tunafanya mchana kabisa
Hakuna cha ndoto mbaya ni upwiru mshindo tu.
 
Nakuunga mkono 100% kutandaza darasa kwa vijana wasiojitambua ama kujua uthamani wa miili yao.

Hakuna kitu naboreka, mtu umegharamia mamilion kuandaa tukio ili uje uzawadiwe k mpya unakumbana na vitu vya ajabu ajabu isee!
Hakuna jambo analoweza kugharamia mwanaume, wanaita 'kwa gharama yoyote' kama penzi jipya, mtu anaweza kujifirisi ili kulinda heshima ya kuanzisha mahusiano mapya, sasa ukute uliyoyakemea, mtu kaja nayo!

Mwanamke haujabakwa wala kulazimishwa, utaendaje kudate mchafu chafu, haujapiga mswaki, haujanyoa naniliu, chumvi ya jasho imekuganda mwilini!

Mimi ukiniijia kishenz shenz, nitakuigizia naumwa halafu nakukwepa forgood!

Cha ajabu sasa, kwenye rushwa ya ngono ni wasafi hao!
Ukikutana naye utadhani kaumbwa leo, kila eneo hukuti kasoro, so why?

Hakuna mwanamke asiyejua kuoga bhana, huwa ni makusudi ya kuuziana mbuzi kwenye gunia, ama kususiana.
Why umuigizei mimi nakuchana
 
Lazima 😂 ila binamu nimekula kipindi nipo nakua usiku nilikuwa naogopa kulala mwenyewe kutokana na ndoto mbaya usiku so tulikuwa tunakaa na binamu so usiku tulikuwa tunalala wote na yey ndio alianzisha uchokoz tukaendelea kuna mda tulikuwa tunafanya mchana kabisa
Naona umepiga come back baada shambulio la min -me 😂😂😂
 
Beki tatu atasema alikuwa anaishi kwenye nyumba kuna shoga 😂
Bora hata angekuwa anamsumbua afu beki tatu alete zile zao za nataka sitaki afu jamaa aachane nae ili iwe kama sababu ya kutokumla.
Hamna kitu kama icho mpe heshima yake atakama ni bek tat
 
Mwanamke unakuwaje na kiharufu
Osha hizo nywele zisinuke,usikae na nywele miezii hadi zianze kutoa harufu
Safisha uso huo usiwe kama umemwagiwa pumba, ukiweza tafuta face wash uso uwe na nuru

Shingo hiyo isugue vizuri isiwe nyeusi kama ya mbuzi
Shuka kwenye manyonyo hayo sugua chini ya ziwa kuna tabia ya kutengeneza weusi, sugua vizuri katikati ya ziwa hapo pasiwe peusi

Sugua mgongo huo,shuka hadi mstari wa ikweta huo jasho la huko linatoa harufu si mchezo,sugua na unyoe hivyo vidaka ushuzi

Sugua wowowo hilo fanyia scrub hivyo vipele vinaisha, hakikisha linakuwa soft jamani sio gumu kama tairi 🤣
Ukimaliza lipake body oil lilainikeee

Sugua kwapa,nyoa hizo nywele za kwapa ndo maana kiharufu hakiishi,tumia limao kutoa harufu ya kwapa kama deodorant ya afu tatu imekushinda

Huko kwa bibi nyoa, safisha mashavu ya bibi nje na ndani, ukitoka period fanya steaming kutoa hiko kiharufu cha period.
Ukiweza kufanya waxing fresh!ukiweza kunyoa kwa shaving cream sawa,mradi tu usiwe na manywele huko

Sugua ulimi huo usinuke mdomo ni kero sana,meno yawe safi tumia mouth wash msichana unanukaje mdomo

Kucha zako hakikisha ni safi kama unafuga hakikisha ni safi kama ni fupi hewalaaaa, kama rangi paka ijulikane

Acha kutumia mkorogo
Acha kubadilisha wanaume nayo ni uchafu
Kunywa sana mtindi
Kula matunda
Acha kunywa energy drinks sio nzuri kiafya
Ukiweza nunua sunscreen jua sio zuri kwa ngozi
Hakikisha unanukia vizuri
Hakikisha una chupi nzuri

Mengine ongezeeeni...I come in peace ✌️View attachment 3287037
Naenda kwa Dada yangu..nimuonyeshe huu ujumbe na mchumba mtarajiwa...

Points..

1.Afu tatu ikimshinda kuna limao.
2.Uso usiwe kama pumbaa😀😀😀😀😄
3.Kwa bibi kusiwe na nywelee..kama yule moja mpaka unasaka pa kupita😀😀🙂🙂

Ubarikiwe,pepsi itakuhusu...
 
Ahhah hapana kweli tena dada wakaz siwezi ilo limenishinda
Watu tulishwahi mpa bi mkubwa route ya kwenda kupumzika mahali siku 2 na hela juu...kumbe kijana nina mipango ya kumla HG, mbaya zaidi Bi Mkubwa nasema nakuamini wewe kuliko wadogo zangu wanaonekana vipanga kumbe mi ndo wembe hatari zaidi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom