Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,908
- 104,009
Siwez kuelezea sana mana Mm sio mwanamkeHao watakua na maambukizi, hakuna mtu msafi anayenuka..!!
Siwez kuelezea sana mana Mm sio mwanamkeHao watakua na maambukizi, hakuna mtu msafi anayenuka..!!
Je kwenye mgodiMwanamke unakuwaje na kiharufu
Osha hizo nywele zisinuke,usikae na nywele miezii hadi zianze kutoa harufu
Safisha uso huo usiwe kama umemwagiwa pumba, ukiweza tafuta face wash uso uwe na nuru
Shingo hiyo isugue vizuri isiwe nyeusi kama ya mbuzi
Shuka kwenye manyonyo hayo sugua chini ya ziwa kuna tabia ya kutengeneza weusi, sugua vizuri katikati ya ziwa hapo pasiwe peusi
Sugua mgongo huo,shuka hadi mstari wa ikweta huo jasho la huko linatoa harufu si mchezo,sugua na unyoe hivyo vidaka ushuzi
Sugua wowowo hilo fanyia scrub hivyo vipele vinaisha, hakikisha linakuwa soft jamani sio gumu kama tairi 🤣
Ukimaliza lipake body oil lilainikeee
Sugua kwapa,nyoa hizo nywele za kwapa ndo maana kiharufu hakiishi,tumia limao kutoa harufu ya kwapa kama deodorant ya afu tatu imekushinda
Huko kwa bibi nyoa, safisha mashavu ya bibi nje na ndani, ukitoka period fanya steaming kutoa hiko kiharufu cha period.
Ukiweza kufanya waxing fresh!ukiweza kunyoa kwa shaving cream sawa,mradi tu usiwe na manywele huko
Sugua ulimi huo usinuke mdomo ni kero sana,meno yawe safi tumia mouth wash msichana unanukaje mdomo
Kucha zako hakikisha ni safi kama unafuga hakikisha ni safi kama ni fupi hewalaaaa, kama rangi paka ijulikane
Acha kutumia mkorogo
Acha kubadilisha wanaume nayo ni uchafu
Kunywa sana mtindi
Kula matunda
Acha kunywa energy drinks sio nzuri kiafya
Ukiweza nunua sunscreen jua sio zuri kwa ngozi
Hakikisha unanukia vizuri
Hakikisha una chupi nzuri
Mengine ongezeeeni...I come in peace ✌️View attachment 3287037
Ukiona mwanamke wako anatoa harufu sio ya kawaida ujue ana maambukizi..!!Siwez kuelezea sana mana Mm sio mwanamke
Nitaitangazia dunia na wanawake wote wajisafishe vzr na kwenda hospitali 😎Ukiona mwanamke wako anatoa harufu sio ya kawaida ujue ana maambukizi..!!
Km ni jasho la kawaida mbebe mkaoge na hakikisha mnasafisha sehemu zote za milango ya fahamu..!!
Kabisa.🤣🤣🤣 Maana hakuna namna🙌
Yaani mtu anakwambia eti "mbona sijisikii kama nanuka?"Wanapitia mengi sana wanaume...na ujue kuna wadada hawajui kama wananuka enhhh
Hiko kichwa cha chini mnakipa shuruba jamani🙌🙌.Unakutana na kitu hicho mpaka unajiuliza huu mwili unamilikiwa na huyu mhusika ambaye niko naye hapa au vp 😂
Anyway, dozi ipo pale pale mana kichwa cha chini hakielewi kitu kikiwa na mizuka yake.
Mpwa, hujawahi kutana na harufu ya kisamaki katika upambanaji wako eeee🤔Nimecheka sana🤣🤣🤣
Madame B uko vizuri mpwa!!
Mdogo wangu we acha tu.
Yaani unakutana na Amita huyu hapa.Madame jamani lol! 😹😹
Eti govinda 🤣
Sio Amita bachan??
🤣🤣🤣🤣🤣😹😹😹 Hivi ile order yetu ya half man iliishia wapi?
Demi wewe mzigo wako ulipata?? 🤣
Jamani 😁!Madame mbavu zinaniuma, nimekumbuka siku ile ulivyokua unayatupa maneno mpk tukafukuzwa kwenye ule uzi 😹😹😹
Kinyaaa!!Kinyaa!
We sema hivohivo, wenzako ndo tunaenjoy!What the actual f*ck??
Wanasema wanaume wengi ndio wahanga wa kukutana na mabalaa humu vyumbani!Uzi unahusu wanawake ila comments nyingi za wanaume!!! 😥😹😹