Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,599
Aiseee,..Mbona mnatembea na zile vicondom mnaviita leggings sijui ndio ushindwe khanga
Aiseee,..Mbona mnatembea na zile vicondom mnaviita leggings sijui ndio ushindwe khanga
Eeh unashangaa nini sii tunawaona mujiniAiseee,..
Shida haipo, ni makubaliano tu, ili mradi hakuna anayebakwaNi shida tupu kwa kweli
mbona msononeko hivyo
Tatizo wanawake wengine ukimfanyie hivyo anakuzulia majina yasiyo na staha kiumeni!! Utasikia yule suruali tu hamna Mwanaume pale, najiachia kabisa ghetto kwake hata hushtuki. Simba wa kuchoraMy friend nilikuwa naendaga kwake/ anakuja kwangu asubuhi saa mbili tunapika chai tunakunywa stori zinaendelea, tunapika cha mchana tunakula. Giza likianza ndo mtu anaondoka hatujawahi shikana hata paja.

Mimi niko nanjilinji siyaoni ya mjini huko,.Eeh unashangaa nini sii tunawaona mujini
Karibu hvyo je anayetoka kigoma mpka mtwara kwa kupeleka papuchi tu atasemaje na anaenda kwa mavazi yasiyosumbua japo atafika mtwara cku ya 3Seriously utoke tegeta mpaka mbagala na khanga,.??
Kote humo anakuwa kavaa lubega eti?!mmh..sawa lakini.Karibu hvyo je anayetoka kigoma mpka mtwara kwa kupeleka papuchi tu atasemaje na anaenda kwa mavazi yasiyosumbua japo atafika mtwara cku ya 3
Simple tu sio zile za kuvuliwa mpka muwe watu 2 kila mtu kashika mguu wake huku mhusika amelala chinKote humo anakuwa kavaa lubega eti?!mmh..sawa lakini.
Unatafuta wa jirani maana waswahili wanasema fimbo ya mbali haiuwi nyokaKwahiyo akihama,unahama nae,au ndiyo mahaba yanaishia hapo unatafuta jirani mwingine?!
Kwa hiyo wewe unaliwaga vichochoroniMimi ndo maana huwa siendi geto la mwanaume hata iweje
Za kushtukiza ndio zenyewe, zinanoga balaaSio adhabu mwingine hata sio mpenzi wala hujawahi kuwaza kufanya naye ukifka tu anakubadilishia gear angani loh
Atakua ni shosti wako huyoMy friend nilikuwa naendaga kwake/ anakuja kwangu asubuhi saa mbili tunapika chai tunakunywa stori zinaendelea, tunapika cha mchana tunakula. Giza likianza ndo mtu anaondoka hatujawahi shikana hata paja.
Jirani mbona unapambana na carbamazepine kila mtaa kwani jje's kaenda wapi?
Jirani mbona unapambana na carbamazepine kila mtaa kwani jje's kaenda wapi?
jirani jirani jirani carbamazepine Ana suruali ya ngozi ya mamba nimeona Uzi umemlenga










