Mbulu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2015
- 5,619
- 5,518
tena usiende kabisa mdogo wangu maana huko utagawa kwa lazima au kwa kutaka!Mimi siendagi hata kwa dawa kuna mwanaume alinifundisha hyo maana kila MTU akwambia njoo kwangu oooh
UKIKUBALI KUOLEWA KUBALI NA KULALA UCHI, KWAHIYO PAMBANA TUSeriously utoke tegeta mpaka mbagala na khanga,.??
msichana mzuri kama wewe unabwana anaishi mbagalaSeriously utoke tegeta mpaka mbagala na khanga,.??