kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,245
Kama tujuavyo, wasichana wa sasa kuwa na 3 sum boyfriend kwa ngono kwa muda tofauti au mafiga matatu na pengine zaidi ni kitu cha kawaida. Na pengine kati ya hao wote anaolewa na yule ambaye amfeel kivilee!!
Just jamaa kaonyesha nia ya dhati kuliko wenzake. Mdada anaona umri unamtupa mkono, asije onekana ana gundu anaamua kuolewa na jamaa. Sasa anaamua kumuagaa yule mmoja ambaye anamuhusudu kisana sana, kumuaga kwa kufanya naye ngono siku moja au masaa kadhaa kabla ya ndoa.
Je msichana akipata mimba katika hilo tendo itakuwaje?
Ndio, pendine anatumia kinga, je muoaji akitambua?
Na pengine mwanaume huyo asitambue wakati huu, maneno yakaja kusikika kwa siku za mbeleni zikamfika muhusika?
Wadada!! Acheni hiyo tabia ambayo inaongezeka kwa kasi, jana tu mdada kagogwa kwa sababu hi hi hi.
Nilichukia aggggrrrriiii
Mimi na wewe tutokomeze ndoa ndoano Tanzania, inaanza na sisi wenyewe
Just jamaa kaonyesha nia ya dhati kuliko wenzake. Mdada anaona umri unamtupa mkono, asije onekana ana gundu anaamua kuolewa na jamaa. Sasa anaamua kumuagaa yule mmoja ambaye anamuhusudu kisana sana, kumuaga kwa kufanya naye ngono siku moja au masaa kadhaa kabla ya ndoa.
Je msichana akipata mimba katika hilo tendo itakuwaje?
Ndio, pendine anatumia kinga, je muoaji akitambua?
Na pengine mwanaume huyo asitambue wakati huu, maneno yakaja kusikika kwa siku za mbeleni zikamfika muhusika?
Wadada!! Acheni hiyo tabia ambayo inaongezeka kwa kasi, jana tu mdada kagogwa kwa sababu hi hi hi.
Nilichukia aggggrrrriiii
Mimi na wewe tutokomeze ndoa ndoano Tanzania, inaanza na sisi wenyewe