Mdada amwaga chozi, imeniumiza moyo sana

Mdada amwaga chozi, imeniumiza moyo sana

kwa hiyo despline ya kazi ni kumsema tna personal Affairs mbele ya mteja??????? ipo kwenye sheria gani ya kazi na kifungu gani????

ungekuwa ww umeambiwa maneno kama yale ungefanyaje??
 
Huyo Bosi anamatatizo ulitakiwa umwambie lugha aliyotumia haiendani na maadili ya kazi
 
Jana nilitumwa na bosi wangu kwenda kuchukuwa document katika kampuni moja hivi. Nilipofika sikumkuta secretary, niliambiwa ameenda lunch. Nikamkuta kijana mmoja ambaye ni bosi wake na ndiye aliyekuwa anawasiliana na bosi wangu.

Yule kijana akampigia simu afahamu document zilipo. Yule dada akamwambia amezifungia kwenye kabati yake na ufungua anao yeye. Inaonyesha sehemu aliyoenda kupata lunch pana umbali kidogo.


Aliporudi yule kijana alimfokea sana, yule kaka akamaliza hasira zake kwa kumwambia kwa tabia zako ndio maana wanaume wa kukuoa wanakukimbia.Yule dada alianza kulia mpaka na mimi nusu nilie. Nikimwangalia hivi, umri wake waweza kuwa kati ya miaka 34-36.

Tuchunge ulimi ndugu zangu, maneno yanauma.

huyo dada angekuwa na imani katika Kristo asingelia ni afadhali hayo machozi angeyapeleka kwa Mungu yangekuwa Baraka kwake.
 
Una namba ya huyo dada?

Anayo Boss wake aliyemfokea. Nadhani Msandawe Halisi atakuwa na namba ya Boss ya yule dada.

Ila tahadhali usije ukamwongezea maumivu, maana alishaambiwa wanaume wanakukimbia, sasa na wewe ukichova ukakimbia itakuwa soo.
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsia ya kike siwalaumu najua machozi yao yapo karibu sana
 
Jana nilitumwa na bosi wangu kwenda kuchukuwa document katika kampuni moja hivi. Nilipofika sikumkuta secretary, niliambiwa ameenda lunch. Nikamkuta kijana mmoja ambaye ni bosi wake na ndiye aliyekuwa anawasiliana na bosi wangu.

Yule kijana akampigia simu afahamu document zilipo. Yule dada akamwambia amezifungia kwenye kabati yake na ufungua anao yeye. Inaonyesha sehemu aliyoenda kupata lunch pana umbali kidogo.


Aliporudi yule kijana alimfokea sana, yule kaka akamaliza hasira zake kwa kumwambia kwa tabia zako ndio maana wanaume wa kukuoa wanakukimbia.Yule dada alianza kulia mpaka na mimi nusu nilie. Nikimwangalia hivi, umri wake waweza kuwa kati ya miaka 34-36.

Tuchunge ulimi ndugu zangu, maneno yanauma.

Kweli kafanya vibaya kuongelea mambo binafsi (personal issues) kwa mambo ya kazi.

Huyo Boss hafai kabisa kufanya nae kazi. Hiyo ni "harassment" ya hali ya juu. Huyo msichana amshtaki kwa kumdhadhalilisha na kumtia machungu yasiosahaulika.
 
Sikuliona tukio ila hayo maneno siyo mazuri, na kama huyo jamaa ana watoto wa kike basi ajiandae kuvuna hayo maneno
 
Duh nyie mabosi nyie! Mimi ni ombi langu kwa MUNGU kuwa kwa nafasi yangu Nataka 90% if not 100% plus nitakaowahudumia watoke wakiwa na furaha hata kama lile lililowaleta sina uwezo wa kulifanikisha!!!!

Very Good.
 
Mostly huruma ya mwanaume kwa binti anayenyanyapaliwa si bure, haikosi personal interests, hata msibani ikiwa diseased ni mwanaume basi waombolezaji watalia kwa sura mbili. Moja kuna watakaomlilia marehemu kwa kuwa alikuwa ndugu yao na hawakosekani pia watakaolia kwa kuwa marehemu kaacha mke of whom atakuwa chakula yao!
 
Jana nilitumwa na bosi wangu kwenda kuchukuwa document katika kampuni moja hivi. Nilipofika sikumkuta secretary, niliambiwa ameenda lunch. Nikamkuta kijana mmoja ambaye ni bosi wake na ndiye aliyekuwa anawasiliana na bosi wangu.

Yule kijana akampigia simu afahamu document zilipo. Yule dada akamwambia amezifungia kwenye kabati yake na ufungua anao yeye. Inaonyesha sehemu aliyoenda kupata lunch pana umbali kidogo.


Aliporudi yule kijana alimfokea sana, yule kaka akamaliza hasira zake kwa kumwambia kwa tabia zako ndio maana wanaume wa kukuoa wanakukimbia.Yule dada alianza kulia mpaka na mimi nusu nilie. Nikimwangalia hivi, umri wake waweza kuwa kati ya miaka 34-36.

Tuchunge ulimi ndugu zangu, maneno yanauma.

Hii ni tabu ya watu wanaoajiriwa kwa vimemo!

Wanajiona Miungu watu!
 
Bosi yeyote anaetoa povu kwa subordinates hana sifa za uongozi
 
kwa hiyo despline ya kazi ni kumsema tna personal Affairs mbele ya mteja??????? ipo kwenye sheria gani ya kazi na kifungu gani????

Primary Point ni kuchelewa kutoa docs,haya ya affairs ni secondary issues aka kibomu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom