Mdada amwaga chozi, imeniumiza moyo sana

Mdada amwaga chozi, imeniumiza moyo sana

Labda ulilalamika sana kwa kuchelewa kwake au alikuwa ana show off kwako, mbona hujasema hatua uliyochukua au hujui ni kosa la jinai hilo
 
Natamani huyo angekuwa bos wangu mbona angeniheshimu maisha yake yote yaliyobaki hapa duniani
 
Na mimi akinichokoza mdada humu MMU nitasema "Ndo maana hujaolewa"
 
Inauma sana maana cio tabia nzr hyo, huyo mkaka na yy kwan kaoa, mda mwngne mtu unaweza ucpende kuolewa kwan lazma
 
Jana nilitumwa na bosi wangu kwenda kuchukuwa document katika kampuni moja hivi. Nilipofika sikumkuta secretary, niliambiwa ameenda lunch. Nikamkuta kijana mmoja ambaye ni bosi wake na ndiye aliyekuwa anawasiliana na bosi wangu.

Yule kijana akampigia simu afahamu document zilipo. Yule dada akamwambia amezifungia kwenye kabati yake na ufungua anao yeye. Inaonyesha sehemu aliyoenda kupata lunch pana umbali kidogo.


Aliporudi yule kijana alimfokea sana, yule kaka akamaliza hasira zake kwa kumwambia kwa tabia zako ndio maana wanaume wa kukuoa wanakukimbia.Yule dada alianza kulia mpaka na mimi nusu nilie. Nikimwangalia hivi, umri wake waweza kuwa kati ya miaka 34-36.

Tuchunge ulimi ndugu zangu, maneno yanauma.

Discipline ya kazi haina umri,,,,,he was right
 
Jana nilitumwa na bosi wangu kwenda kuchukuwa document katika kampuni moja hivi. Nilipofika sikumkuta secretary, niliambiwa ameenda lunch. Nikamkuta kijana mmoja ambaye ni bosi wake na ndiye aliyekuwa anawasiliana na bosi wangu.

Yule kijana akampigia simu afahamu document zilipo. Yule dada akamwambia amezifungia kwenye kabati yake na ufungua anao yeye. Inaonyesha sehemu aliyoenda kupata lunch pana umbali kidogo.


Aliporudi yule kijana alimfokea sana, yule kaka akamaliza hasira zake kwa kumwambia kwa tabia zako ndio maana wanaume wa kukuoa wanakukimbia.Yule dada alianza kulia mpaka na mimi nusu nilie. Nikimwangalia hivi, umri wake waweza kuwa kati ya miaka 34-36.

Tuchunge ulimi ndugu zangu, maneno yanauma.

Wanaume wengi utadhani tumezaliwa na baba mmoja!
Bint wa watu anagombezwa kwa uzembe wa kazi, na kama bwana boss aliwahi kuonesha interest akachomolewa basi ndo hasira zinaongezwa! Na wabongo kwa kupenda kujiongeza kakosa kadogo utafoka weeeee kuonesha jinsi ulivyo commited kwenye kazi looooh! Na wewe mwenzeeetu em nikuulize maswali ya uchokozi kidogo.....
Huruma yako ilibase katika nini hasa? Umbo, sura ama kufokewa? What if akikupa nafasi ya kumbembeleza, say kuacha kazi ya manyanyaso aje kwako usiyejua kufoka? Si ni mwendo wa kujiliwaza badala ya kufanya kazi ya msingi ya kuonesha gratitude?
 
Jana nilitumwa na bosi wangu kwenda kuchukuwa document katika kampuni moja hivi. Nilipofika sikumkuta secretary, niliambiwa ameenda lunch. Nikamkuta kijana mmoja ambaye ni bosi wake na ndiye aliyekuwa anawasiliana na bosi wangu.

Yule kijana akampigia simu afahamu document zilipo. Yule dada akamwambia amezifungia kwenye kabati yake na ufungua anao yeye. Inaonyesha sehemu aliyoenda kupata lunch pana umbali kidogo.


Aliporudi yule kijana alimfokea sana, yule kaka akamaliza hasira zake kwa kumwambia kwa tabia zako ndio maana wanaume wa kukuoa wanakukimbia.Yule dada alianza kulia mpaka na mimi nusu nilie. Nikimwangalia hivi, umri wake waweza kuwa kati ya miaka 34-36.

Tuchunge ulimi ndugu zangu, maneno yanauma.

hiyo ni defamation kabisa mi ningemchukulia hatua kwa hiyo kauli yake.
 
Wanaume wengi utadhani tumezaliwa na baba mmoja!
Bint wa watu anagombezwa kwa uzembe wa kazi, na kama bwana boss aliwahi kuonesha interest akachomolewa basi ndo hasira zinaongezwa! Na wabongo kwa kupenda kujiongeza kakosa kadogo utafoka weeeee kuonesha jinsi ulivyo commited kwenye kazi looooh! Na wewe mwenzeeetu em nikuulize maswali ya uchokozi kidogo.....
Huruma yako ilibase katika nini hasa? Umbo, sura ama kufokewa? What if akikupa nafasi ya kumbembeleza, say kuacha kazi ya manyanyaso aje kwako usiyejua kufoka? Si ni mwendo wa kujiliwaza badala ya kufanya kazi ya msingi ya kuonesha gratitude?

Kwanza kabisa nilipatwa na mshangao kama siyo kupigwa butwaa!! Ofisi hiyo ipo masaki na ni sehemu tulivu sana. Thamani zilizopo ofisini na unadhifu wa wafanyakazi sikutegemea kamwe kusikia neno kama lile. Binafsi sikuwa na lolote la kusema sababu nami baada ya kupata kilichonipeleka niliondoka. Kama wadau walivyosema yawezekana huyu kaka kuna kitu alikitaka ila mdada mybe ajakubaliana naye. Sasa kuna maisha ya visa katika sehemu hiyo ya kazi.
 
Discipline ya kazi haina umri,,,,,he was right

kwa hiyo despline ya kazi ni kumsema tna personal Affairs mbele ya mteja??????? ipo kwenye sheria gani ya kazi na kifungu gani????
 
Emotional abuse, ikikutana na weak personality, majanga.
Ningekuwa mie, ningempa jibu hilo hadi angeshangaa na roho yake.

nikweli huyo jamaa amekosa busara huyo atakuwa na sababu zake binafsi zilimfanya atoe majibu kama yale......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom