Mdada aliyetia fora katika Zari All White Party

Mdada aliyetia fora katika Zari All White Party

ImageUploadedByJamiiForums1430586407.627504.jpg huyu je
 
huyu amnazo,kifupi anatafuta umaarufu kwa nguvu,and its foolish:sad::alien:

Halafu sasa hana nyota ya umaarufu..........anajitahidi sana lakini hatoki.........madai yake yeye ni Lady Gaga...........
 
Hiyo kaptula/shorts ya juu nimeipenda, lini unafungua duka lako la fashion zilizoenda shule? lol!

Hapo angeweka belt kiunoni ili kiuno kionekane na angevaa japo shorts nyeupe chini..Make up angepiga smokey eye na nude/natural lip mngetoa macho wote ka mjusi kabanwa na mlango!!na nywele angefumua tu akaachia afro zingemtoa zaidi 🙂
View attachment 248719
View attachment 248721
 
kajidhalilisha sana kutafuta promo kupitia vivazi vinavyoonesha utupu!!!
 
Na huyu je????
 

Attachments

  • 1430600477430.jpg
    1430600477430.jpg
    24.5 KB · Views: 497
daah oya si useme tu ulikuwa juu ya mawe, hayo ya sijui kijana makini sijui nini yanatoka wapi, huo mzuka haukuwa wa watu wenye hela za mawazo. VUNJA MIFUPA WAKATI MENO IKO. Dizaini yako ndo full kusumbua vijana uzeeni mkizinyaka.
Fainali uzeeni
 
Back
Top Bottom