Mdada aliyetia fora katika Zari All White Party

Mdada aliyetia fora katika Zari All White Party

Tabia ya huyu dada inaakisi tabia ya mzazi mwenzake. Kwa mtu anayejiheshimu na kujijali hawezi kuzaa na binti wa namna hii. Kwa maadili yetu ya kitanzania huwezi ukaenda kwenye public na shati tu, tena mtu mwenyewe mzazi.
 
Elimu bila ibada ni sawa na mtu aliye gizani.hao wadada kwa picha wapo gizani tu.

Ni kweli mkuu,wapo gizani japo wao wanadhani wajanja,afu asilimia kubwa ya vijana wa dar wana ndoto za mafanikio wakati hawajui kanuni za mafanikio,utakuta kijana ana godoro tu,na ki chumba kimoja,anakichanga kwa muda ili tu kupata 50000 ya kuingia party na kunywa,wakati kwa sisi wa mikoani hiyo 50 namwaga tripu ya mchanga wa kujenga,mwisho wa siku umri unaenda hakuna chochote cha maana mtu kafanya zaidi ya sifa za kujirusha tu,acheni ushamba fanyeni kazi wekeni akiba ya uzeeni msije ishia kuwa omba omba uzeeni
 
Una maana kuwa sugu aliwahi kuwekeza hapo?????anauzia wapi huyu?

Sio kuwekeza tu, amezaa naye.

420602_484821008258297_1740602839_n.jpg
1169188_309188889291073_360486838_n.jpg
 
Kijana makini,na mwenye akili timamu na malengo sahihi ya baadae,hawezi kushiriki kwe ujinga huu ulopewa jina la white party,poleni sana mnapenda raha wakati maisha maboooooovu,poleni sana,

daah oya si useme tu ulikuwa juu ya mawe, hayo ya sijui kijana makini sijui nini yanatoka wapi, huo mzuka haukuwa wa watu wenye hela za mawazo. VUNJA MIFUPA WAKATI MENO IKO. Dizaini yako ndo full kusumbua vijana uzeeni mkizinyaka.
 
Ametia fora? Mkuu umempa sifa za bure huyo hakuwa nazo kichwani
 
Ni lazima tuwacheke watu hawa na kuwachania pichu ndio dawa yao tu tukiwasifia watazid kwenda uchi wamevurugwa hawa...nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 90 mdada akikatiza kavaa suruali mtaa mzima unafurika kumwangalia na kumshangaa mwishoni anaona aibu na harudii ila tulipoanza kuiga umarekani na kuwasifia tu suruali zikazagaa wakaja tight ngumu wakaja tight zilizokua zinavaliwa nadan sasa zivaliwa nje tulivozid kuwachekea na kuwasifia sasa hvi wanatembea na chupi mwishoni hta chupi watatoa sisi marijali tutakua na wakat mgumu sana SHAME UPON HER
 
Ni kweli mkuu,wapo gizani japo wao wanadhani wajanja,afu asilimia kubwa ya vijana wa dar wana ndoto za mafanikio wakati hawajui kanuni za mafanikio,utakuta kijana ana godoro tu,na ki chumba kimoja,anakichanga kwa muda ili tu kupata 50000 ya kuingia party na kunywa,wakati kwa sisi wa mikoani hiyo 50 namwaga tripu ya mchanga wa kujenga,mwisho wa siku umri unaenda hakuna chochote cha maana mtu kafanya zaidi ya sifa za kujirusha tu,acheni ushamba fanyeni kazi wekeni akiba ya uzeeni msije ishia kuwa omba omba uzeeni

yaani umeongea kweli tupu.Mungu akusaidie.
 
Back
Top Bottom