tzkwanza
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 1,568
- 3,604
chaputa dhambi, ni sawa na kutoa mimba.Aisee.. Kwa hiyo tuendelee na chaputa tu?
sitii neno hapa ha ha haAnamaanisha Sisi wenye sura kama korosho tuendelee kuwa wateja pale buguruni pasipo kuoa,
Sasa mbona mwenzetu pale magogoni kaweka jiko ndani.
Mchungaji anatafuta kiki, yeye mwenye ana sura mbaya na kitambi kinaburuza chini kama sisi tu.
aiseeMchungaji anatafuta kiki, yeye mwenye ana sura mbaya na kitambi kinaburuza chini kama sisi tu.
Ama kweli nyani haoni kundula.ke
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee 😅😅Anamaanisha Sisi wenye sura kama korosho tuendelee kuwa wateja pale buguruni pasipo kuoa,
Sasa mbona mwenzetu pale magogoni kaweka jiko ndani.