GE2025 Mchungaji Victoria: Tutapata wapi sadaka mkiandamana? Sisi tunaishi kwa kula sadaka

GE2025 Mchungaji Victoria: Tutapata wapi sadaka mkiandamana? Sisi tunaishi kwa kula sadaka

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Tujifunze kuiheshimu demokrasia.

Tuone kuwa ni haki yao kutoa maoni muhimu wasivunje katiba ya nchi.

Wamekuwa wakweli wa kile wanachokiamini.

Ila tu ningepata muda wakuwauliza ningewauliza kati ya AMANI na HAKI kipi kinapaswa kianze.
 
"Sisi Tunakula Sadaka, Maisha Yetu ni Sadaka”

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Victoria Joseph wa Life Center International Bible College pamoja na wengine wamesema kuwa wao kama viongozi wa dini, endapo amani itatoweka kutokana na kelele za mitandaoni, watakosa sadaka.

Wakizungumza na waandishi wa habari, viongozi hao wamewahimiza Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 29 Oktoba 2025 kwa maslahi mapana ya nchi, huku wakikemea vikali wale wote wanaotaka kuvuruga amani kwa sababu zao binafsi.

Aidha, wamesisitiza kuwa wataendelea kufanya ibada ili amani iendelee kutawala, kwani maisha yao kwa asilimia kubwa yanategemea sadaka.

Kawaelezeni huo upuuzi familia za watu waliotekwa na kuuawa, amani ipi mnayozungumzia.
Displaying your foolishness publicly, kabisa mnashindwa kujua kinachozaa amani ni haki au mmeamua kujifanya majuha.
 
Hii nchi inaujambazi mwingi sana, mengine tofauti na ujambazi hayajui njia tofauti ya kupata hela, yanabaki yanalia kama hivi aiseee!
 
Ungekuwa unatumia nguvu hiyo hiyo kukemea wanapokuwa wa upande wako.Bila hivyo ni unafiki tu.
tatizo lenu huwa mnaamini upande huu wakiongea blunder wataachwa bila kukemewa, wapuuzi wote hukemewa bila kujali dini na imani zao
 
Ulikuwa unajifanya neutral huku lugha unayotumia inakuumbua"tatizo lenu" Kina nani?Wacha unafiki hujawahi kukemea mada za kidini zinazoletwa kila siku na kejeli hapa JF.Wacha kujipa moral authority usiyekuwa nayo.Wewe pia ni wale wale.
 
Ulikuwa unajifanya neutral huku lugha unayotumia inakuumbua"tatizo lenu" Kina nani?Wacha unafiki hujawahi kukemea mada za kidini zinazoletwa kila siku na kejeli hapa JF.Wacha kujipa moral authority usiyekuwa nayo.Wewe pia ni wale wale.
hujawahi kuona kwa kuwa unaingia humu mara chache, muda mwingi unakuwa kule kwenye mitandao ya udaku
 
hujawahi kuona kwa kuwa unaingia humu mara chache, muda mwingi unakuwa kule kwenye mitandao ya udaku
Siwezi kushinda JF kama wewe nina kazi za kufanya.Mara chache ninazoingia sijaona ukikemea huo unaouita "udini"ukitoka upande unaoamini wewe.Hiyo mitandao ya udaku utakuwa wewe ndio monitor kwani inaelekea unajua wanaoingia.Sorry mimi sio mmoja wao.
 
Siwezi kushinda JF kama wewe nina kazi za kufanya.Mara chache ninazoingia sijaona ukikemea huo unaouita "udini"ukitoka upande unaoamini wewe.Hiyo mitandao ya udaku utakuwa wewe ndio monitor kwani inaelekea unajua wanaoingia.Sorry mimi sio mmoja wao.
sasa unabisha nini mjuba? Umejuaje kama huwa sikemei upande wangu unaodai hujawahi kuona?
 
Amesema ukweli, dini zinatumika kuwatajirisha waendeshaji.

Mwamposa amemsafirisha mama ake kwenda German kutibiwa, Ila huku bongo amepata wapumbavu wa kuwadanganya na kuwanyoosha.
Wakristo kwa eneo la sadaka na kuombewa wanashangaza na kufikirisha sana.

Mtu anaona wazi pesa anayotoa inaliwa na nabii uchwara wazi wazi lakini bado anaendelea kutoa akiamini anamtolea Mungu.
Anaacha kumpeleka mgonjwa hosipitali anapeleke kwa nabii, ila nabii akiumwa anaenda hosipitali wazi bila kificho.
Ajabu sana.
 
Wakristo kwa eneo la sadaka na kuombewa wanashangaza na kufikirisha sana.

Mtu anaona wazi pesa anayotoa inaliwa na nabii uchwara wazi wazi lakini bado anaendelea kutoa akiamini anamtolea Mungu.
Anaacha kumpeleka mgonjwa hosipitali anapeleke kwa nabii, ila nabii akiumwa anaenda hosipitali wazi bila kificho.
Ajabu sana.
Wakristo wapuuzi wako wengi mno
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Back
Top Bottom