Makanisa ya kitapeli hapa Tanzania yako mengi ila matapeli sugu ni hawa.....
1. Ngurumo ya upako (arusha) - Mheshimiwa, mstahiki, mtukufu Geordavie.
2. mzee wa upako (ubungo dar)
3. Mwingira (dar)
4. Gwajima(dar)
5. Gamanywa(dar)
6. Mama Rwakatare(dar)
na mengine mengi hasa yanayoitwa majina yake kwa kiingereza eg Glory church, lord mercy church etc
hana lolote huyu mama ni tapeli wa kimataifa kupitia kwa yesu, muogopeni sana .