getrusa
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 2,150
- 1,812
Wakuu poleni na majukumu nimekaa na hili fukuto moyoni muda mrefu lakini nimeona ni bora nilitoe hapa ili ujumbe umfikie, nimeona baadhi ya clip za video zikizunguka kwenye mitandao akifundisha wanawake mambo mbali mbali, kilichonifanya nilete huu uzi ni pale Biblia inapopotoshwa kwa makusudi tu ya mtu fulani kushibisha tumbo lake au kutimiza ajenda yake.
Nimemsikia Mitimingi akisema mwanaume aliye oa anatakiwa kumgharamia mkewe kila kitu mpaka pesa ya salon! Aina ya mafundisho ambayo yanapendwa sana na wanawake wa leo
Wakitumia kifungu Kwenye biblia kuwa imeandikwa mwanaume utakula kwa jasho
Lakini nikisoma katika kitabu cha mithali 31:10... Biblia inaeleza kuhusu mke Mwema na sifa zake je kwanini miti mingi hawaelezi wanawake na mabinti ukweli huu? Kwanini anawadanganya?
Je haoni kama anasababisha migogoro katika ndoa na kiburi kwa wake zetu wakiamini kuwa wao kuhudumiwa kila kitu ni haki yao wakati sio kweli?
Nawasilisha.
Nimemsikia Mitimingi akisema mwanaume aliye oa anatakiwa kumgharamia mkewe kila kitu mpaka pesa ya salon! Aina ya mafundisho ambayo yanapendwa sana na wanawake wa leo
Wakitumia kifungu Kwenye biblia kuwa imeandikwa mwanaume utakula kwa jasho
Lakini nikisoma katika kitabu cha mithali 31:10... Biblia inaeleza kuhusu mke Mwema na sifa zake je kwanini miti mingi hawaelezi wanawake na mabinti ukweli huu? Kwanini anawadanganya?
Je haoni kama anasababisha migogoro katika ndoa na kiburi kwa wake zetu wakiamini kuwa wao kuhudumiwa kila kitu ni haki yao wakati sio kweli?
Nawasilisha.