DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile amemshambulia kwa maneno Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mwalimu Nyerere Foundation, Mzee Joseph Butiku, akimtuhumu kuonesha chuki dhidi ya aliyekuwa Balozi Humphrey Polepole, ambaye hivi karibuni kumeripotiwa sintofahamu juu ya alipo.
Mchungaji Mwakipesile amekosoa kauli ya Mzee Butiku aliyedai kutofahamu alipo Polepole, akisema kuwa mzee huyo ameshindwa kuonesha ubinadamu na badala yake amekuwa akizungumza kwa mamlaka kana kwamba anafurahia yaliyomsibu mwanasiasa huyo kijana.
Pia Soma: Butiku: Sijui Polepole alipo, ingawa aliniaga
Mchungaji Mwakipesile amekosoa kauli ya Mzee Butiku aliyedai kutofahamu alipo Polepole, akisema kuwa mzee huyo ameshindwa kuonesha ubinadamu na badala yake amekuwa akizungumza kwa mamlaka kana kwamba anafurahia yaliyomsibu mwanasiasa huyo kijana.
Pia Soma: Butiku: Sijui Polepole alipo, ingawa aliniaga