BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 320
- 495
Sina Mengi zaidi ya kusema sote tumesoma Habari za Mchungaji wa huko mbeya kuhukimiwa miaka 3 kisa tu.
Ni usajili wa kanisa( ilikuwa Bado/au alinyimwa)Hivi kweli Tumefika Hapa Tz.
Japo kuwa Mwakipesile alikuwa anajiongelea mambo mengi yasiyo Kuwa na faida Angepuuzwa tu maana sio threat kwa utawala Wala kwa jamii ila kwa kilichotokea ni Threat Kwa Ukristo maana imani ni Jambo binafsi haliusiani na utawala:
Wakianza na wachungaji wadogo watu wanakuwa kimya siku wakifika kwa wale wenye kundi kubwa ndio kelele zitaanza.
#wote wanathamani mbele za Mungu tukemee ukandamizaji wa viongozi wa Dini hata Kama Ana kundi dogo hata mtu 1 bado Aheshimiwe.
Nawasilisha.
Ni usajili wa kanisa( ilikuwa Bado/au alinyimwa)Hivi kweli Tumefika Hapa Tz.
Japo kuwa Mwakipesile alikuwa anajiongelea mambo mengi yasiyo Kuwa na faida Angepuuzwa tu maana sio threat kwa utawala Wala kwa jamii ila kwa kilichotokea ni Threat Kwa Ukristo maana imani ni Jambo binafsi haliusiani na utawala:
Wakianza na wachungaji wadogo watu wanakuwa kimya siku wakifika kwa wale wenye kundi kubwa ndio kelele zitaanza.
#wote wanathamani mbele za Mungu tukemee ukandamizaji wa viongozi wa Dini hata Kama Ana kundi dogo hata mtu 1 bado Aheshimiwe.
Nawasilisha.