GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,866
- 11,099
Wanabodi, Kuna usemi unasema"Your Boss is your Boss, Respect your Boss, Be on positive Side of your Boss. Kwa kiswahili na tafsiri isiyo rasmi ni kwamba "Muheshimi mkubwa wako wa kazi, ongelea mambo mazuri ya bosi wako tu, usimwongelee vibaya mkubwa wako wa kazi
Iringa ya leo hii tukiacha ushabiki na uzandiki imependeza sana hasa manispaa ya Iringa, Iringa mjini anayoongoza msigwa mbunge huwezi fananisha na mikoa mingi hapa Tanzania kwa huduma za msingi yaani Umeme, maji, Miundombinu iliyojengeka
Barabara imara zilizojengwa Mkoa wa Iringa hata katika majiji yetu hakuna, Majiji yetu Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza zimejaa miundombimu iliyojengwa kwa kiwango cha chini Sana na mingi inabomoka, Kipindi cha mvua haya majiji yamegeuka uchafu na madimbwi ya kufugia minyoo
Mchungaji Msigwa asingeyaona hayo angekuwa hana heshima wala shukrani kwa Bosi wake, Mkoa wa Iringa umependelewa sana hasa kupelekewa fedha nyingi za Benki ya Dunia (World Bank) na zimetumika kurekebisha mji Sana Sana hilo aliefika kule juu mlimani kwenye mji analijua hilo
Tumpongeza Msigwa, Iringa itakuwepo hata Msigwa akiondoka madarakani, Kupendeza kwa Iringa yawezekana ilipangwa au imetokea kwa bahati mbaya, Kama ni kwa bahati mbaya basi Msigwa historia itamkumbuka sana kama mpigania maendeleo wa Iringa
Wananchi lazima tufahamu maendeleo hayapatikani kwa kumchukia mtu, Wanaomchukia Rais mnapoteza muda na mnajitakia magonjwa ya moyo na presha, Yeye yupo pale kama msimamizi tu na mamlaka kwa mujibu wa katiba
Katika Maisha ya sasa hakuna maamuzi ambayo yapo huru bila kuwa na Risk au tahadhari ndani yake, Tahadhari yaweza ikawa hasi au chanya, Shukrani ya Peter Msigwa kwa Raisi ni chanya kwa wana Iringa lakini ni hasi kwa wenye chuki na Raisi.
Mchungaji msigwa umetumia opportunity kuijenga Iringa iwe chanya ,Usiogope threats (vitisho) kwani opportunity for Iringa To success is greater than threats
Iringa ya leo hii tukiacha ushabiki na uzandiki imependeza sana hasa manispaa ya Iringa, Iringa mjini anayoongoza msigwa mbunge huwezi fananisha na mikoa mingi hapa Tanzania kwa huduma za msingi yaani Umeme, maji, Miundombinu iliyojengeka
Barabara imara zilizojengwa Mkoa wa Iringa hata katika majiji yetu hakuna, Majiji yetu Mbeya, Dar, Arusha na Mwanza zimejaa miundombimu iliyojengwa kwa kiwango cha chini Sana na mingi inabomoka, Kipindi cha mvua haya majiji yamegeuka uchafu na madimbwi ya kufugia minyoo
Mchungaji Msigwa asingeyaona hayo angekuwa hana heshima wala shukrani kwa Bosi wake, Mkoa wa Iringa umependelewa sana hasa kupelekewa fedha nyingi za Benki ya Dunia (World Bank) na zimetumika kurekebisha mji Sana Sana hilo aliefika kule juu mlimani kwenye mji analijua hilo
Tumpongeza Msigwa, Iringa itakuwepo hata Msigwa akiondoka madarakani, Kupendeza kwa Iringa yawezekana ilipangwa au imetokea kwa bahati mbaya, Kama ni kwa bahati mbaya basi Msigwa historia itamkumbuka sana kama mpigania maendeleo wa Iringa
Wananchi lazima tufahamu maendeleo hayapatikani kwa kumchukia mtu, Wanaomchukia Rais mnapoteza muda na mnajitakia magonjwa ya moyo na presha, Yeye yupo pale kama msimamizi tu na mamlaka kwa mujibu wa katiba
Katika Maisha ya sasa hakuna maamuzi ambayo yapo huru bila kuwa na Risk au tahadhari ndani yake, Tahadhari yaweza ikawa hasi au chanya, Shukrani ya Peter Msigwa kwa Raisi ni chanya kwa wana Iringa lakini ni hasi kwa wenye chuki na Raisi.
Mchungaji msigwa umetumia opportunity kuijenga Iringa iwe chanya ,Usiogope threats (vitisho) kwani opportunity for Iringa To success is greater than threats